Hawa jamaa wawili kwa kweli kwa pamoja tunaweza kusema wamepeleka
kilio mtaa wa Lumumba, waswahili husema kwa mjinga huenda kicheko lakini
kwa mwelevu huenda kilio.
Ujio wa Lowassa UKAWA umepeleka kilio kikubwa sana CCM japo kuwa
wanajikazakinyasa wanakufa na Tai shingoni. Majuzi Mh. January Makamba
aliita waandishi wa habari na kujinasibu eti CCMimepata wabunge 176
mpaka sasa na kufanikiwa kugomboa majimbo 11 yaliyokuwa yawapinzani.
Sasa habu ona hapo chini kilio Lowassa alichokipeleka CCM ambacho Makamba hakupenda kutaja.
1. Viti maalumu vya CCM vimepungua kwa 40% toka 79bunge lilopita la10
mpaka 62 bunge la11. Wakati CHADEMA na CUF viti hivyo vimeongezeka haya
ni maumivu makubwa
2. CCM imenyang`anywauongozi wa majiji 4 kati ya majiji 5imebakiwa na
uongozi katika jiji moja tu la Mwanza,. Majiji yafuatayo CCM nichama cha
upinzani , Jiji la Mbeya, Jiji kuu la Dar-es-Salaam, Jiji la kitaliila
Arusha na jiji la Tanga ambalo ilikuwa ni ngome yao, ngome imevunjwa.
3. Ruzuku ya CCM imepungua kwa 40% kutokana na kuraza rais alizopata ,
mgao wa ruzuku utakuwa 60 kwa 40 kwa maana 58% alizopataRais Magufuri
kwa desilimali ya karibu itakuwa 60, na 39.8% ya kura za
Lowassaalizopata kwa desilimali ya karibu itakuwa 40. Kwa hiyo CHADEMA
imeinya`anyaCCM 20% ya ruzuku, je! Siyo maumivu hayo?
4. Uongozi wa halmashauri ndiyo usiseme. Kabla yaLowassa halmashauri
zilizokuwa zinaongozwa na wapinzani zilikuwa 5 sasahalmashauli hizo
zimeongezeika na kufika 30, katika halmashauri hizo CCMwatakuwa
bachbancher.
5. Kilio kikubwa zaidi ni cha Zitto Kabwe alichowapaCCM katika
halmashauri ya Kigoma/ujiji. Katika halmashauri hii hakuna mkuu wawilaya
au mkuu wa mkoa kutia pua, halmashauri hii ni mali ya Zitto Kbakwe
kwamaana ya Meya hadi madiwani. Halmashauri hii mwenyekiti wa CCM au
mkuu wawilaya au mkuu wa mkoa wataenda kufanya nini? Wakati wakuu hao
wameng`ang`anakumnyang`anya Kafulila ubunge wake huku nyuma Zitto
anachukua halmashauri ya mjini,shame on them
6. Kuna kilio manispaa ya Mtwara/Mkindani na Mtwaravijijini kwa Hawa
Ghasia, huenda Umeya wa Shilingi na wa Ndazigula umeotambawa.
Haya ndo ilitakiwa Mh. January Makamba ayaseme katika kile kikao chawaandishi wa habari alichokiitisha.
Source: ebaeban/Jamii Forums
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» Edward Lowassa/Zitto Kabwe Wapeleka Kilio CCM
Edward Lowassa/Zitto Kabwe Wapeleka Kilio CCM
Related Posts:
Mkuu wa Majeshi Jenaral Davis Mwamunyange Arejea Nchini Mzima wa Afya..Baada ya Tetesi za Kulishwa Sumu Sakata la Mkuu wa majeshi lililotikisa Mitandao Mbalimbali hapa nchini kuhusu afya yake hatimaye Mkuu huyo wa Majeshi amerejea Nchini kutoka kwenye ziara ya Kikazi nje ya Nchi,Mkuu huyo wa Majeshi hakuoneka … Read More
LULU, WEMA WAFIKA PABAYA..KISA UHUSIANO NA DAIMOND .. Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea, mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya kufuatia bifu zito linalofukuta … Read More
PICHA ZA MABAKI YA HELIKOPTA ILIYOPOTEZA UHAI WA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE Mwili wa Deo Filikunjombe ukitolewa Eneo la tukio baada ya kuteketea kwa Moto kufuatia ajali ya helkopta. Waliofariki mbali ya Filikunjombe wengine ni Mwenyekiti wa TLP Mkoa wa Iringa Blanka Francis Haul… Read More
HABARI KUHUSU HELIKOPTA YA CCM ILIYOANGUKA MBUGANI IKIWA NA MBUNGE DEO FILIKUNJOMBE Usiku wa kuamkia leo October 16 2015 majukwaa ya siasa Tanzania yametawaliwa na ajali ya Helikopta ambayo imeanguka na kulipuka kwenye mbuga ya Wanyama ya Selous ambapo Waziri wa maliasili na utalii Lazaro Nyaland… Read More
BAADHI YA VITUKO VILIVYOPO NDANI YA DAFTARI LA WAPIGA KURA..PICHA ZIMEPIGWA JANA WAKATI UKAWA WAKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI Huyu Kaandikishwa kwa jina la GGGHUH GGJGJHGHG GGHGGGHG Mwangalie vizuri mzungu na majina yake. Picha ya pembeni… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni