Hawa jamaa wawili kwa kweli kwa pamoja tunaweza kusema wamepeleka
kilio mtaa wa Lumumba, waswahili husema kwa mjinga huenda kicheko lakini
kwa mwelevu huenda kilio.
Ujio wa Lowassa UKAWA umepeleka kilio kikubwa sana CCM japo kuwa
wanajikazakinyasa wanakufa na Tai shingoni. Majuzi Mh. January Makamba
aliita waandishi wa habari na kujinasibu eti CCMimepata wabunge 176
mpaka sasa na kufanikiwa kugomboa majimbo 11 yaliyokuwa yawapinzani.
Sasa habu ona hapo chini kilio Lowassa alichokipeleka CCM ambacho Makamba hakupenda kutaja.
1. Viti maalumu vya CCM vimepungua kwa 40% toka 79bunge lilopita la10
mpaka 62 bunge la11. Wakati CHADEMA na CUF viti hivyo vimeongezeka haya
ni maumivu makubwa
2. CCM imenyang`anywauongozi wa majiji 4 kati ya majiji 5imebakiwa na
uongozi katika jiji moja tu la Mwanza,. Majiji yafuatayo CCM nichama cha
upinzani , Jiji la Mbeya, Jiji kuu la Dar-es-Salaam, Jiji la kitaliila
Arusha na jiji la Tanga ambalo ilikuwa ni ngome yao, ngome imevunjwa.
3. Ruzuku ya CCM imepungua kwa 40% kutokana na kuraza rais alizopata ,
mgao wa ruzuku utakuwa 60 kwa 40 kwa maana 58% alizopataRais Magufuri
kwa desilimali ya karibu itakuwa 60, na 39.8% ya kura za
Lowassaalizopata kwa desilimali ya karibu itakuwa 40. Kwa hiyo CHADEMA
imeinya`anyaCCM 20% ya ruzuku, je! Siyo maumivu hayo?
4. Uongozi wa halmashauri ndiyo usiseme. Kabla yaLowassa halmashauri
zilizokuwa zinaongozwa na wapinzani zilikuwa 5 sasahalmashauli hizo
zimeongezeika na kufika 30, katika halmashauri hizo CCMwatakuwa
bachbancher.
5. Kilio kikubwa zaidi ni cha Zitto Kabwe alichowapaCCM katika
halmashauri ya Kigoma/ujiji. Katika halmashauri hii hakuna mkuu wawilaya
au mkuu wa mkoa kutia pua, halmashauri hii ni mali ya Zitto Kbakwe
kwamaana ya Meya hadi madiwani. Halmashauri hii mwenyekiti wa CCM au
mkuu wawilaya au mkuu wa mkoa wataenda kufanya nini? Wakati wakuu hao
wameng`ang`anakumnyang`anya Kafulila ubunge wake huku nyuma Zitto
anachukua halmashauri ya mjini,shame on them
6. Kuna kilio manispaa ya Mtwara/Mkindani na Mtwaravijijini kwa Hawa
Ghasia, huenda Umeya wa Shilingi na wa Ndazigula umeotambawa.
Haya ndo ilitakiwa Mh. January Makamba ayaseme katika kile kikao chawaandishi wa habari alichokiitisha.
Source: ebaeban/Jamii Forums
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» Edward Lowassa/Zitto Kabwe Wapeleka Kilio CCM
Edward Lowassa/Zitto Kabwe Wapeleka Kilio CCM
Related Posts:
MAMA MZAZI WA NEY WA MITEGO AMTILIA SHAKA MWANAE Mama mzazi wa mkali wa bongofleva Nay wa Mitego ameongea kwa mara ya kwanza na millardayo.com na kusema ana wasiwasi na mwanae ambae hivi karibuni ametoa video mpya aliyoifanya nchini Kenya. Amekiri kweli kwamba si… Read More
MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza. Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza … Read More
WAATHIRIWA WA MABOMU MBAGALA WALALAMIKA Nyumba iliyoharibiwa na bomu kama inavyoonekana. Mkutano kati ya waandishi habari na Waathirika wa Mabomu Mbagala, ambao umefanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mbagala Kuu ,jijini Dar-Es-Salaam mapema leo . Waathi… Read More
Shearer asema Welbeck atang'ara Arsenal Mshambuliaji wa Arsenal Danny Wellbeck kushoto Mshambuliaji mpya wa kilabu ya Arsenal Danny Welbeck anaweza kufunga mabao 25 kwa msimu mmoja ,hayo ni matamshi ya aliyekuwa … Read More
Alichokiandika Steve Nyerere kuhusu kujiuzulu uongozi Bongo Movie. Kupitia mtandao wa picha yaani Instagram aliyekuwa Rais wa Bongo Movie Unity,Steve Nyerere leo ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo kwenye klabu hiyo ya Bongo Movie huku akishindwa kuweka sababu iliyomfanya kujiu… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni