Kinyume na ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari Hajaonekana
kwenye sherehe za kupishwa kwa Mh. Rais na wala jina Lake halikuwemo
kwenye orodha ya wageni.
Hivi majuzi muhubiri maarufu kutoka nchini Nigeria TB Joshua aliwasili
nchini kwa kile kilichoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo
gazeti la Mwananchi kwamba muhubiri huyo amekuja nchini kushuhudia
kupishwa kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli.
Alipowasili uwanja wa ndege hapa Tanzania alipokelewa na baadhi ya
viongozi walioongozwa na Dr. John Pombe Magufuli na akaenda moja kwa
moja kumsalimia Rais Kikwete Ikulu magogoni Dar es Salaam.
Baada ya kutoka Ikulu muhubiri huyo alielekea nyumbani kwa aliyekuwa
mgombea urais wa UKAWA na waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa eneo
ambalo ameonekana kuwepo kwa Muda mrefu akizungumza na Lowassa na
viongozi wengine wa UKAWA.
MASWALI
1. Je, ujio wa Muhubiri huyo ilikuwa ni msafara binafsi Kinyume na ilivyoripotiwa na vyombo vya habari?
2. Vyombo vyetu vya habari havikupewa taarifa sahihi kuhusu sababu za ujio wa kiongozi huyo?
3. Kama ni msafara binafsi kwanini apokelewe na rais mteule na kutembelea Ikulu?
4. Je ni viongozi wa UKAWA wamemzuwia kuhudhuria sherehe hizo za kupishwa Rais kutokana na wao kugomea kusaini matokeo?
5. Je, bado yupo nchini? Maana kama tulijulishwa kuhusu ujio wake si vibaya tukajuzwa kuhusu kuondoka kwake.
Nawasilisha:
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» TB Joshua ni Mgeni wa Nani Nchini Tanzania? Maswali Yazidi Baada ya Kutoonekana Uwanja wa Taifa Katika Sherehe za Kuapishwa
TB Joshua ni Mgeni wa Nani Nchini Tanzania? Maswali Yazidi Baada ya Kutoonekana Uwanja wa Taifa Katika Sherehe za Kuapishwa
Related Posts:
Baada ya Kulianzisha,,Makonda Yupo Hatarini Kuuawa,Vigogo wa Madawa ya Kulevya Wapanga Mikakati ya Kummaliza kwa Gharama Yeyote Ile..!!!! Wakati vita dhidi ya madawa ya kulevya jijini Dar vikipanuka na kugeuka kuwa suala la kitaifa, kuna kila dalili kuwa usalama wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda upo hatarini, Risasi Mchanganyiko limebaini. … Read More
Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Asakwa na Uhamiaji Kwa Kosa Hili Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport Kadhaa ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yak… Read More
Mwanake ni Sura au Msambwanda? Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja. Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka u… Read More
Diamond Platnumz Athibitisha Kuwa Mbioni Kumrudisha Q-Chief Kwenye Ramani...!!! Diamond Platnumz amethibitisha kuwa amejipanga kumrudisha Q-Chief kwenye ramani ya muziki baada ya uongozi wake wa QS Mhonda kushindwa kufanya hivyo licha ya kudai kutumia zaidi ya shilingi milioni 200 bila kupata fai… Read More
Huu Ndio Msikiti ambao Diamond Anapang Kuujenga..!!! Diamond amejitolea kujenga msikiti. Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ amesema kwa sasa anajenga msikiti huo lakini upo mkoani Mtwara. “Mimi nakushukuru sana mama yangu, asante sana. Naamini kabisa nitakuja Mtwara, Mtw… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni