Kinyume na ilivyoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari Hajaonekana
kwenye sherehe za kupishwa kwa Mh. Rais na wala jina Lake halikuwemo
kwenye orodha ya wageni.
Hivi majuzi muhubiri maarufu kutoka nchini Nigeria TB Joshua aliwasili
nchini kwa kile kilichoripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari ikiwemo
gazeti la Mwananchi kwamba muhubiri huyo amekuja nchini kushuhudia
kupishwa kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli.
Alipowasili uwanja wa ndege hapa Tanzania alipokelewa na baadhi ya
viongozi walioongozwa na Dr. John Pombe Magufuli na akaenda moja kwa
moja kumsalimia Rais Kikwete Ikulu magogoni Dar es Salaam.
Baada ya kutoka Ikulu muhubiri huyo alielekea nyumbani kwa aliyekuwa
mgombea urais wa UKAWA na waziri mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa eneo
ambalo ameonekana kuwepo kwa Muda mrefu akizungumza na Lowassa na
viongozi wengine wa UKAWA.
MASWALI
1. Je, ujio wa Muhubiri huyo ilikuwa ni msafara binafsi Kinyume na ilivyoripotiwa na vyombo vya habari?
2. Vyombo vyetu vya habari havikupewa taarifa sahihi kuhusu sababu za ujio wa kiongozi huyo?
3. Kama ni msafara binafsi kwanini apokelewe na rais mteule na kutembelea Ikulu?
4. Je ni viongozi wa UKAWA wamemzuwia kuhudhuria sherehe hizo za kupishwa Rais kutokana na wao kugomea kusaini matokeo?
5. Je, bado yupo nchini? Maana kama tulijulishwa kuhusu ujio wake si vibaya tukajuzwa kuhusu kuondoka kwake.
Nawasilisha:
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» TB Joshua ni Mgeni wa Nani Nchini Tanzania? Maswali Yazidi Baada ya Kutoonekana Uwanja wa Taifa Katika Sherehe za Kuapishwa
TB Joshua ni Mgeni wa Nani Nchini Tanzania? Maswali Yazidi Baada ya Kutoonekana Uwanja wa Taifa Katika Sherehe za Kuapishwa
Related Posts:
Chadema Bado Hawajakubali Yaishe...Waapa Kumshughulikia Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo Bungeni Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeahidi kumshughulikia Bungeni, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kikidai kuwa bado hajasafishwa kwenye kashfa ya akaunti ya Escrow. Ahadi hiyo il… Read More
Kazi ya kwanza kuifanya Naibu Waziri Kigwangwala baada ya kuapishwa Dec 12 (+video). Kwenye zama hizi za Hapa kazi tu za Mheshimiwa Rais John Magufuli,tunashuhudia mambo mengi ambayo mengine tulikua hatuyafi… Read More
Diamond Platnumz na Zari Washinda Tuzo Nchini Uganda STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ pamoja na mchumba wake Zarinah Hassan ‘Zari The Bossy Lady’ wamepata Tuzo za Abryanz Style and Fashion (ASFA 2015) zilizofanyika Kampala, Uganda usiku wa… Read More
Asipofunga Zipu…Nay wa Mitego Atakufa Kwa Ngoma Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Eribaliki ‘Nay wa Mitego’ akijiachia na mrembo mpya mwenye umbo dogo kwenye bwawa la kuogelea katika Hoteli ya White Sands iliyopo Mbezi Beach jijini Dar. KIWEMBE! Ndivyo… Read More
Nape: Nitaanza Kushughulikia Sheria na Nidhamu Michezoni Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye ameahidi kushughulikia sheria mbalimbali zinazosimamia sekta hiyo ili kuongeza nidhamu michezoni. Nape aliyeapishwa juzi kuanza kibarua hicho, ataiongoza wi… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni