Tanzania bado iko kwenye majonzi baada ya msiba wa aliyekuwa mbunge wa Ludewa,Deo
Najua kuna watu walikuwa na maswali juu ya atakayewaongoza wakazi wa
Ludewa, sasa leo Novemba 5, 2015 mke wa marehemu Deo Filikunjombe ‘
Saraha’ ameyaandika maneno haya kupitia akaunti yake ya instagram
kuhusiana aliyeteuliwa kugombea jimbo la Ludewa.
‘Nawaombeni wana ludewa wote kwa heshima nawaomba niwaambie ukweli
kuwa huyu ndie anayeweza kuvaa viatu vya mume wangu mpendwa kwani mara
nyingi amewahi kumchangia kaka yake ada za watoto tuliokuwa
tunawasomesha huko ludewa naombeni msidanyike na maneno ya hao wagombea
wengine mbona leo ndo wamekuja ludewa walikuwa wapi kujakuleta maendeleo
mpaka iwe baada ya deo kufariki kati ya wagombea wote hakuna rafiki wa
mume wangu’ – Saraha
‘hata mmoja tena kwa macho yangu nimewaona wakipewa misaada walete
Ludewa na hawakufikisha na mara nyingi amelalamika na kuwaomba jamani
tupeleke maendeleo nyumbani hakuna aliesikia hata mmoja ndo maana hawana
nyumba ya kufikia matokeo yake wanawaomba kura ilingali hata hawana
pakufikia wamefikia nyumba ya kulala wageni mkitaka kumwona mbunge mta
mkuta wapi tuwemakini Deo amefanya mengi mpeni mdogo wake amalizie
aliyoahidi asanteni sana wanaludewa niwaganili sana mdalikhe sana ccm
hoyeeeeeeechagua ccm chagua Philipo filikunjombe hapa kazi tu’ – Saraha
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» Mke wa Deo Filikunjombe Ampigia Kampeni Mdogo wa Filikunjombe Achukue Ubunge Jimbo Aliloliacha Mmewe..Adai Wengine Msiwasikilize Hawana Hata Mahali pa Kufikia Ludewa
Mke wa Deo Filikunjombe Ampigia Kampeni Mdogo wa Filikunjombe Achukue Ubunge Jimbo Aliloliacha Mmewe..Adai Wengine Msiwasikilize Hawana Hata Mahali pa Kufikia Ludewa
Related Posts:
ZOMBE AACHIWA HURU, MSHIRIKA WAKE AHUKUMIWA KUNYONGWA HADI KUFA Mahakama ya Rufaa imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kunyongwa hadi kufa katika kesi ya vifo vya wafanyabiashara wa madini iliyokuwa ikimkabili yeye pamoja na aliyekuwa Mk… Read More
MAJAMBAZI, MALI ZA WIZI NA SILAHA VYAKAMATWA DAR Kikosi maalum cha kupambana na ujambazi wa kutumia silaha cha Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kimefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 5 wa makosa ya ujambazi wa kutumia silaha katika maeneo mbalimbali. … Read More
KUTOKA BUNGENI: RAISI MAGUFULI KUHAMIA DODOMA RASMI MWAKA 2020 Leo Septemba 16, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akisoma hotuba ya kuahirisha mkutano wa nne kwa Bunge la 11 uliodumu kwa muda wa wiki mbili, amesoma ratiba ya serikali kuhamia Dodoma.“Ili kufanikisha azma ya Serikali k… Read More
SAKATA LA REDIO KUFUNGWA MAGIC FM YATAKIWA KUOMBA RADHI SIKU TATU MFULULIZO, REDIO 5 ZAFUNGIWA MIEZI August 29 2016 Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye alitangaza kuvifungia vituo viwili vya radio kwa muda usiojulikana ambavyo ni Magic Fm ya Dar es salaam na Radio 5 ya Arusha kwa makosa ya kut… Read More
ALICHOKIZUNGUMZA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI CONGO KUHUSU MADEREVA WALIOTEKWA Jana ziliripotiwa habari za kutekwa kwa madereva wa malori kutoka Tanzania na Kenya kutekwa na kundi la waasi nchini Congo. Leo September 16 habari zilizoripotiwa na BBC Swahili zimedai kuwa watu wameokolewa na jesh… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni