Tanzania bado iko kwenye majonzi baada ya msiba wa aliyekuwa mbunge wa Ludewa,Deo
Najua kuna watu walikuwa na maswali juu ya atakayewaongoza wakazi wa
Ludewa, sasa leo Novemba 5, 2015 mke wa marehemu Deo Filikunjombe ‘
Saraha’ ameyaandika maneno haya kupitia akaunti yake ya instagram
kuhusiana aliyeteuliwa kugombea jimbo la Ludewa.
‘Nawaombeni wana ludewa wote kwa heshima nawaomba niwaambie ukweli
kuwa huyu ndie anayeweza kuvaa viatu vya mume wangu mpendwa kwani mara
nyingi amewahi kumchangia kaka yake ada za watoto tuliokuwa
tunawasomesha huko ludewa naombeni msidanyike na maneno ya hao wagombea
wengine mbona leo ndo wamekuja ludewa walikuwa wapi kujakuleta maendeleo
mpaka iwe baada ya deo kufariki kati ya wagombea wote hakuna rafiki wa
mume wangu’ – Saraha
‘hata mmoja tena kwa macho yangu nimewaona wakipewa misaada walete
Ludewa na hawakufikisha na mara nyingi amelalamika na kuwaomba jamani
tupeleke maendeleo nyumbani hakuna aliesikia hata mmoja ndo maana hawana
nyumba ya kufikia matokeo yake wanawaomba kura ilingali hata hawana
pakufikia wamefikia nyumba ya kulala wageni mkitaka kumwona mbunge mta
mkuta wapi tuwemakini Deo amefanya mengi mpeni mdogo wake amalizie
aliyoahidi asanteni sana wanaludewa niwaganili sana mdalikhe sana ccm
hoyeeeeeeechagua ccm chagua Philipo filikunjombe hapa kazi tu’ – Saraha
Ijumaa, 6 Novemba 2015
Home »
» Mke wa Deo Filikunjombe Ampigia Kampeni Mdogo wa Filikunjombe Achukue Ubunge Jimbo Aliloliacha Mmewe..Adai Wengine Msiwasikilize Hawana Hata Mahali pa Kufikia Ludewa
Mke wa Deo Filikunjombe Ampigia Kampeni Mdogo wa Filikunjombe Achukue Ubunge Jimbo Aliloliacha Mmewe..Adai Wengine Msiwasikilize Hawana Hata Mahali pa Kufikia Ludewa
Related Posts:
WANACHAMA 100 WA BOKO HARAM WAUAWA jeshi la Nigeria Jeshi la Nigeria linasema kuwa limewaua zaidi ya wanamgambo 100 wa kundi la Boko Haram kufuatia shambulizi la wapiganaji hao siku ya ijumaa kazkazini mashariki mwa jimbo la Borno. Vikosi vya ser… Read More
MFUNGWA AKUTWA NA SIMU MWILINI Tatizo la kuingiza bidhaa kimagendo ndani ya magereza ya Kenya imekuwa kero kubwa kwa maafisa wa magereza. Kwa baadhi ya watu simu ya mkononi ni kifaa tu cha mawasIliano ilihali kwa wengine ni kifa ambacho kinaweza … Read More
UGANDA YAHARIBU SHAMBULIZI LA KIGAIDI Vikosi vya usalama nchini Uganda Maafisa wa polisi nchini Uganda wameimarisha usalama katika maeneo mengi ya uma katika mji mkuu wa Kampala kufuatia kukamatwa kwa washukiwa kadhaa wa makundi ya kigaidi na vil… Read More
MAYWEATHER AMCHAPA TENA MAIDANA Floyd Mayweather (kushoto) akimtupia konde mpinzani wake Marcos Maidana. Maidana akijibu mashambulizi wakati wa pambano hilo. Mayweather akimshambulia mpinzani wake.… Read More
Habari njema! Fastjet tena kwenye headlines!! wameanza kwenda Uganda. Shirika la ndege la Fastjet limepata sifa kubwa nchini Tanzania kutokana na kusafirisha kwake abiria na kuanza kuiunganisha Afrika kwa kasi ambapo baada ya kuanzisha safari za nyumbani kati ya Mwanza – Dar, Kilimanjaro – D… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni