Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za
kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo
ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye
ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo
imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za
maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa
kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
Japo zipo collabo kubwa za kimataifa alizoisha fanya, ameamua kufunga
mwaka kwa kuachia wimbo mwingine kabisa ambao hakuna aliyefahamu kama
upo wala utafanya vizuri, hii inathibitisha silaha zilizosalia kwenye
‘benki’ yake ya nyimbo huenda yakawa ni mabomu makubwa zaidi.
Collabo zinazosubiriwa kwa hamu ni pamoja na ile ya Diamond na Ne-yo, Diamond na P-Square, Diamond na Usher na zingine.
Alhamisi, 17 Desemba 2015
Home »
» Nyimbo 5 za Diamond zilizopo Store Zitaendelea Kumuweka Kileleni kwa Miaka 10 – Asema Mpiga Picha Wake
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo Store Zitaendelea Kumuweka Kileleni kwa Miaka 10 – Asema Mpiga Picha Wake
Related Posts:
Rumishael Shoo (Rummy) Ashikiliwa na Polisi Kwa Tuhuma za Dawa ya Kulevya Kamanda Sirro akiongea na waandishi wa habari amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwakamata wahalifu mbalimbali, silaha na magari mawili aina ya Noah yaliyokuwa yakitumika kufanya uhalifu. Miongoni mwa aliowata… Read More
Ishara Za Kujua Iwapo Umemkuna Mwanamke Wako Vizuri Kunako 6 X 6..!!! Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa. 1.Kufinya shuka kwa nguvu au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonye… Read More
DODOMA: Bashe, Malima na Musukuma Mbaroni Wakidaiwa Kupanga Kuhujumu Vikao Vinavyoendelea Wabunge wawili Bashe na Musukuma wamekamatwa leo asubuhi kabla ya kikao cha Kamati Kuu kuanza kutokana na kudaiwa kubeba ajenda ya "kwenda kumpinga Mwenyekiti". Kundi hili la wabunge lililokuwa na mjumbe mwingine, Adam M… Read More
P-Funk: Diamond Anapaswa Kutulia Kidogo, lasivyo Watu Watamchoka Producer mkongwe wa Bongo Records, P-Funk Majani, amesema kila siku akiendelea kusikia kuhusu Wasafi, itafika muda atawachoka. Amedai kuwa ili label hiyo iendelee kufanya vizuri kwa muda mrefu, ni lazima ibadili… Read More
Wakati Mwingine Wanasiasa Wawe Wakweli, Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Hakuwa na Ziara Rasmi Tanzania..!!!! Naona watu wameibeba hii ya Katibu Mkuu wa UN kama "ajenda" tena,huku namuona Mtatiro akirusha makombora,na huku Mbunge Msigwa akirusha kwa upande wa pili.Vijana nao wamebeba mitandaoni kama ajenda ya kumalizia week k… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni