Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za
kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo
ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye
ramani ya muziki.
Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo
imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za
maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa
kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.
Japo zipo collabo kubwa za kimataifa alizoisha fanya, ameamua kufunga
mwaka kwa kuachia wimbo mwingine kabisa ambao hakuna aliyefahamu kama
upo wala utafanya vizuri, hii inathibitisha silaha zilizosalia kwenye
‘benki’ yake ya nyimbo huenda yakawa ni mabomu makubwa zaidi.
Collabo zinazosubiriwa kwa hamu ni pamoja na ile ya Diamond na Ne-yo, Diamond na P-Square, Diamond na Usher na zingine.
Alhamisi, 17 Desemba 2015
Home »
» Nyimbo 5 za Diamond zilizopo Store Zitaendelea Kumuweka Kileleni kwa Miaka 10 – Asema Mpiga Picha Wake
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo Store Zitaendelea Kumuweka Kileleni kwa Miaka 10 – Asema Mpiga Picha Wake
Related Posts:
Rais Mugabe Asema Anarogwa Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa mika 92, anazungumzia kuhusu kustaafu , lakini swali ambalo bado watu wanahoji ni ikiwa kweli anamaanisha hilo.Mwishoni mwa juma Bwana Mugabe aliuambia mkutano wa watu … Read More
Mwana FA Aleta Msiba Mkubwa Kwa Kina Dada wa Mjini Kwa Huu Wimbo Wake Mpya...Dume Suruali ft. Vanessa Mdee Jana Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali.Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi nsichokijua ina TV nda… Read More
Tunaheshimu Maamuzi ya Moses Machali Kuhamia CCM- Ole Sendeka Baada ya kutolewa taarifa ya aliyekuwa Mbunge wa zamani wa Kasulu Mjini, Moses Machali kuhusu kuunga mkono serikali ya awamu ya tano hivyo na kujiunga na Chama cha Mapinduzi, Msemaji wa Chama cha Mapinduzi (CC… Read More
Baba wa Kambo Anajisi Mtoto Miaka Tatu, Amuua MTOTO mdogo mwenye umri wa miaka mitatu mkazi wa Kijiji cha Nyamihaga Wilaya ya Buhigwe mkoani Kigoma amekufa baada ya kunajisiwa na baba yake wa kambo.Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui alisema jan… Read More
Chemical: Kwanini Watu Wanashindwa Kuamini Kuwa Mimi ni Bikira? Rapper wa kike mwenye swaga za hatari Chemical amesema anashangazwa kwa kitendo cha baadhi ya watu wanaompinga kuwa hajawahi kufanya mapenzi.Hitmaker huyo wa ‘Am Sorry Mama’ amekiambia kipindi cha Kubamba cha Times … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni