Waziri wa mambo ya ndani Charles Kitwanga amefanya ziara ya ghafla leo
Dec 16 2015 katika makambi mbalimbali ya Jeshi la Polisi Dar es salaam
na kutoa amri kwa viongozi wa jeshi hilo siku mbili za kuhakikisha
amepata taarifa kuhusu udhibiti wa dawa za kulevya.
“Wapo wajanja wana mbinu nyingi, lakini hawawezi kutuua. Na mimi hili ni
jambo nitalivalia njuga, lakini kwanini katika ukamataji wa dawa za
kulevya sisi tulioko kwenye operesheni tunakaa pembeni? Nataka jibu siku
ya Ijumaa”
Kuhusu watu kubambikiziwa kesi, Waziri limemgusa na kalizungumzia pia
“Hili la kubambika watu kesi tunaweza kuliondoa hata leo, kikubwa ni
kuwa na nidhamu, inakuwaje unambambika mtu kesi ili akuletee pesa? Hiki
ni kitendo cha rushwa na tuliangalie kwa pamoja na tutaliongea kwa
undani Ijumaa”
Alhamisi, 17 Desemba 2015
Home »
» Waziri Atoa Mkwara Jeshi la Polisi Atoa Siku Mbili Aletewe Taarifa Kuhusu Udhibiti wa Madawa ya Kulevya na Watu Kubambikiwa Kesi
Waziri Atoa Mkwara Jeshi la Polisi Atoa Siku Mbili Aletewe Taarifa Kuhusu Udhibiti wa Madawa ya Kulevya na Watu Kubambikiwa Kesi
Related Posts:
Kiiza, Okwi, Twite, Niyonzima, nani kumpisha mbrazil Genilson Santos ‘Jaja’ Yanga? Kuwasili kwa wabrazil wawili katika klabu ya Yanga kumeweka rehani ajira za wachezaji Emmanuel Okwi, Hamis Kiiza, Mbuyu Twite na Haruna Niyonzima kwasababu mmoja wao inabidi atemwe ili timu hiyo iweze kutimiza masharti … Read More
Magazeti ya leo July 24 2014 . Kama kawaida youngluvega.blogspot.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mb… Read More
Kama ulisikia au kusoma kwamba Mama Diamond na Wema hawaelewani. Najua kuna stori nyingine huwa zinaandikwa alafu wahusika wakuu wanakuja kuziongelea baadae kwa kushangaa kilichoandikwa ambacho mara nyingi kinakua sio cha kweli. Stori ya Wema kutopatana na ‘mama mkwe’ yaani Mama mzaz… Read More
Binti wa SUDAN aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya UISLAMU ahamishiwa ITALIAMeriam Ibrahim akiwa na mumewe Daniel Wani pamoja na mtoto wao wa kwanza. MWANAMKE wa Sudan aliyehukumiwa kifo kwa kuasi dini ya Kiislamu na kuolewa na Mkristo, Meriam Ibrahim, amesafirishwa kuelekea Italia baada ya kukaa u… Read More
Sakata la Viungo vya Binadamu kutupwa Dar, Chama cha Madaktari chataka Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) Kifungwe Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimesema Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Matibabu na Teknolojia (IMTU) sanjari na hospitali iliyo chini yake, vinastahili kufungiwa. Tamko hilo la chama limekuja huku maml… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni