WABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemchagua Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza kuwa Katibu wao.
Rweikiza anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, ambaye safari hii hakuwania nafasi hiyo.
Katika uchaguzi huo uliofanyika juzi usiku katika ukumbi wa Msekwa uliopo ndani ya viwanja vya Bunge, Katibu huyo mpya wa Wabunge wa CCM alikuwa akipambana na Mary Chatanda, Mariam Kisangi na Abdalah Ulega.
Wabunge wote wa CCM pia walipiga kura kuwachagua wabunge 10 kati ya 21 walioomba ujumbe wa NEC.
Waliochaguliwa ni Livingstone Lusinde, Dk Hamis Kigwangalla, Stanslaus Nyongo, Steven Ngonyani, Peter Serukamba, Faida Bakari, Agness Marwa, Munde Tambwe, Angella Kairuki na Jamal Kassim Ali.
Wabunge ambao kura hazikutosha ni Mbaraka Dau, Alex Gashaza, Hawa Ghasia, Ibrahim Raza, Profesa Norman Sigalla ‘King’, Almas Maige, Angelina Malembeka, Yahya Massare, Mattar Ali Salum na Hafidh Ali Tahir
Jumamosi, 7 Mei 2016
Home »
» Jason Rweikiza Achaguliwa Kuwa Katibu wa Wabunge wa CCM
Jason Rweikiza Achaguliwa Kuwa Katibu wa Wabunge wa CCM
Related Posts:
UJIO WAKE STEVE RNB,NI NOUMA Ni baada ya kimya kirefu kutoka kwa msanii Steve rnb sasa amerudi na ngoma kali.Unaweza kuiskiliza online au kudownload kuihifadhi katika kifaa chako. … Read More
PICHA HIZI ZINAONESHA SHANGWE YA SERENGETI FIESTA 2014 MKOANI MOROGORO NI SHEEEEEDAH . Show ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika Jumapili,Sept 21 kwenye uwanja wa Jamhuri Stadium imefana baada ya wakazi wa (88.5) Morogoro kupokea kwa shangwe burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali Tazama picha z… Read More
Kesi ya Emmanuel Mbasha imesogezwa tena mpaka October. Kesi ya mwimbaji wa nyimbo za Injili Emmanuel Mbasha imepigwa kalenda kwa mara nyingine tena kwa sababu Hakimu anayeendesha kesi hiyo kupata shughuli nyingine nje ya ofisi. Mbasha alipanda kizimbani katika mahakama… Read More
Polisi wadaiwa kutesa raia Nigeria Polisi nchini Nigeria wamedaiwa kuwatesa wanaume na wanawake pamoja na watoto. Taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International. Shirika hilo limechapisha ripoti yake ambayo inada… Read More
MAN CITY YAANZA VIBAYA UEFA Man City ilipata kichapo cha goli moja bila jibu Mechi zilizochezwa usiku wa kuamkia leo za Klabu Bingwa barani ulaya ambapo Manchester City walianza vibaya michuano hiyo baada ya kupata kichapo cha goli moja bila m… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni