Jumamosi, 7 Mei 2016

Shilole Akanwa Laivu Mchana Kweupe...Nedy Adai Hawana Mahusiano ya Kimapenzi

Bongo fleva super staa Nedy Music ambaye hivi karibuni amejiunga na lebel ya Ommy Dimopz ya Pozi Kwa Poz amekanusha uvumi kuwa Shilole ni Mpenzi wake...Akihojiwa Clouds FM amesema hana uhisiano wa Kimapenzi na Shilole
Awali Nedy alitajwa akuwa mpenzi wa Shilole baada ya staa huyu kuachana na Nuh Mziwanda.


Related Posts:

  • Vyombo vya habari,usalama vyakutana TZ Uhasama wa kiutendaji kati ya vyombo vya habari na vya ulinzi na usalama nchini Tanzania huenda ukapungua kwa kiasi kubwa baada ya pande hizo kuanza kukaa pamoja na kujadili mambo yanayokwamisha utekelezaji wa majukumu … Read More
  • NI ZAIDI YA VIPODOZI,NI ASILI VISIVYO NA KEMIKALI;ORIFLAME. Ni aina mbali mbali za vipodozi kwa wanaume na wanawake,vimetengenezwa kwa ubora wa hali ya juu visivyo na kemikali.Ni vipodozi asili kabisa kulingana na ngozi yako jaribu aina hizi uone maajabu ya vitu asilia. Bidhaa hi… Read More
  • Polisi wadaiwa kutesa raia Nigeria Polisi nchini Nigeria wamedaiwa kuwatesa wanaume na wanawake pamoja na watoto. Taarifa hii ni kwa mujibu wa shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International. Shirika hilo limechapisha ripoti yake ambayo inada… Read More
  • OMBI LA WAFUNGWA HUKO KENYA  Mkuu wa magereza anasema hakuna nafasi za kuweka vyumba vya faragha kwa wafungwa kushiriki tendo la ndoa. Kamishna-Generali wa Magereza nchini Kenya Isaiah Osugo amekataa ombi la wafungwa kuruhusiwa kufanya tendo la… Read More
  • MAN CITY YAANZA VIBAYA UEFA  Man City ilipata kichapo cha goli moja bila jibu Mechi zilizochezwa usiku wa kuamkia leo za Klabu Bingwa barani ulaya ambapo Manchester City walianza vibaya michuano hiyo baada ya kupata kichapo cha goli moja bila m… Read More

0 comments:

Chapisha Maoni