Usiku wa kuamkia May 6 2016 Paka Rapa Young Dee alipost picha akiwa anavuta kitu ambacho mashabiki wake kwenye mtandao wa instagram walitafsiri ni bangi na kuanza kumporomosshea comments kuwa anaelekea kuwa kama Chidi Benz,
Je Young hapa alikuwa anavuta bangi ? na kama ni bangi ni sawa kwa msanii kufanya hivi bongo kama tunavyoona nje kwa kina Wiz Khalifa.
Jumamosi, 7 Mei 2016
Home »
» Young Dee Aporomoshewa Matusi Baada ya Kupost Picha Akivuta Bang
Young Dee Aporomoshewa Matusi Baada ya Kupost Picha Akivuta Bang
Related Posts:
Kilichoikuta Taifa Stars kwenye mechi dhidi ya Burundi hiki hapaTimu ya taifa ya Tanzania leo ilikuwa jijini Bujumbura Burundi kukupiga na timu ya taifa ya nchi hiyo kwenye mchezo wa kirafiki. Taifa Stars leo hii imeambulia kipigo cha mabao 2-0 katika mechi yake ya kirafiki iliyomalizika… Read More
WACHUNGUZI WASEMA MH17 ILIDUNGULIWA. Wachunguzi wa Kijerumani dhidi ya ndege ya abiria ya Malaysia ambayo ilipata ajali huko Ukraine mwezi July na kuripuka angani wanaeleza kua ndege hiyo baada ya kukumbwa na kitu chenye ncha na kugongwa mara kadhaa na vifaa… Read More
BAADA YA OKWI KUIDHINISHWA SIMBA, HIKI NDIO WALICHOAMUA YANGU Siku moja baada ya shirikisho la soka nchini TFF kumtangaza mchezaji Emmanuel Okwi kuwa huru na hivyo anaweza kusajiliwa na klabu ya Simba – leo hii uongozi wa klabu ya Yanga umeitisha mkutano wa waandishi wa h… Read More
Dr. Hamisi Kigwangalla atangaza nia ya kugombea Urais 2015, zisome hapa points zake. September 7 2014 Dr. Hamisi ambae ni mbunge wa Nzega kwa ruhusa ya CCM alikutana na Waandishi Dar es salaam akiwa ameongozana na mke wake pamoja na watoto wao na kisha kuweka wazi kwamba yuko tayari kugombea k… Read More
Wasanii waliporudi tena kutoa misaada kwa majeruhi wa ajali ya Musoma baada ya Fiesta. September 05 zaidi ya watu 35 walipoteza maisha yao kutokana na ajali ya mabus mawili kugongana uso kwa uso eneo la Saba saba ambalo liko nje kidogo na mji wa Musoma,wasanii waliahidi kwenda kutoa misaada kwa watu … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni