Jarida la PEOPLE limefumua bonge moja la siri kuwa staa Rihanna na rapa Drake wamekuwa na mahusiano ya siri kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.
Rihanna na Drake wamefanya collabo kama “Take Care” .“What’s My Name?” na “Work” ila pia wamekuwa wapenzi kwa muda sasa bila kutaka dunia ijue.
Rihanna ndio sababu ya Drake na Chris Brown kutoelewana ila kwa sasa inasemekana Kwa Rihanna pale Drake beki hazikabi
Jumamosi, 7 Mei 2016
Home »
» IMEBAINIKA Rihanna na Drake Wamekuwa Kwenye Mahusiano ya Siri Kwa zaidi ya Mwezi sasa
IMEBAINIKA Rihanna na Drake Wamekuwa Kwenye Mahusiano ya Siri Kwa zaidi ya Mwezi sasa
Related Posts:
UMEICHEKI VIDEO YA KALA JEREMIAH ALIYOMSHIRIKISHA MO MUSIC IKO HAPA Inawezekana ikawa ndiyo wimbo wa kwanza kushirikishwa na msanii kubwa baada ya kuchomoza na single yake ya Basi Nenda huyu ni Mo Music ambapo Tanzania imemtambua kwa singo yake ya Basi Nenda ambayo kupitia Clouds Fm T… Read More
HIKI NDICHO KIASI CHA FEDHA AMBACHO KIMEKAMILISHA VIDEO YA WIMBO MPYA WA KEREWA YA SHETAMuziki wa Tanzania umeendelea kutoa ajila kwa vijana wengi ambao baadhi yao wameamua kuwekeza Sheta ni mojawapo ya vijana ambao wameamua kuwekeza katika muziki huo kwa kuthibitisha hilo nyimbo yake ya kerewa kaenda kufanyia S… Read More
LIST YA WACHEZAJI 16 AMBAO WANAONGOZA KWA MAGORI KOMBE LA DUNIA Michuano ya kombe la dunia imefiki hatua ya 16 bora.Huku ikionekana ni michuano ambayo ina magoli mengi mpaka hatua hii magoli 150 yameingia wavuni.Mshambuliaji wa colombia JAMES RODRIGUEZ ndio anaongoza mpaka sasa … Read More
UMEISIKIA HII INAYOUSU MKATABA WA YOUNG KILLER NA MENEJA WAKE MONA GANGSTAR Mkataba wa Young killer pamoja na meneja wake ambaye vilevile ni produce wake Mona Gangstar,inawezekana huko mwishoni ingawa unaisha december mwezi huu ingawa taarifa hazina huakika. … Read More
Alichokisema diamond baada ya kukosa tuzo Hii ndio kauli ya diamond baada ya davido kutwaa tuzo ya BET.Amewashuku watanzania na mashabiki wake duniani kote kwa kumsapoti hadi kufika pale alipofikia ingawa hakubahatika kupata tuzo yoyote ya kimataifa kwa mwaka… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni