Baada ya headline za Chama cha wananchi CUF kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo aliyewahi kuwa mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba JANA September 15 2016 kamati ya uongozi taifa imekutana na waandishi wa habari Dodoma na kuzungumzia hatma ya chama hicho ikiwa ni pamoja na kumtaka msajili wa vyama vya siasa asitumike kukiyumbisha chama hicho.
Alhamisi, 15 Septemba 2016
Home »
» SIASA WALICHOKIONGEA CUF KUHUSU KUWAVUA UANACHAMA WANACHAMA WAKE AKIWEMO PROF LIPUMBA
SIASA WALICHOKIONGEA CUF KUHUSU KUWAVUA UANACHAMA WANACHAMA WAKE AKIWEMO PROF LIPUMBA
Related Posts:
RAISI KIKWETE AWAONYA WANAOPANGA KULINDA KURA VITUONI Rais Jakaya Kikwete amesema watu wanaopanga kubaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kumaliza zoezi hilo kwa lengo la kulinda kura kunaashiria uvunjaji amani, hivyo serikali imejipanga kupambana na hali hiyo siku ya… Read More
KILA KITU AANIKA:HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido. Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na baadhi ya watu kwamba a… Read More
MGOMBEA WA URAISI CCM DR. JOHN POMBE MAGUFULI AMFAGILIA DAIMOND PLATNUMZ MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli amemmwagia sifa lukuki, mkali wao ndani ya muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kutokana na ushindi wa tuzo tatu za Afrimma zilizofanyika wikiendi iliyop… Read More
MADUKA YA UCHUMI SUPERMARKET YAFUNGWA TANZANIA NA UGANDA Uongozi wa Uchumi Supermarket umetangaza kufunga shughuli zake katika maduka yake yaliyopo Tanzania na Uganda ili kutoa nafasi ya kuzuia mtikisiko wa kifedha unaoikumba kampuni hiyo. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Uchumi, Dk Jul… Read More
Rihanna:NINA HAMU YA KUFANYA MAPENZI LAKINI.......(PICHA) Rihanna anasema yeye ni kama wanawake wengine kiasi cha kuwa na hamu ya kufanya mapenzi na kwamba hajavunja amri ya sita kwa muda mrefu sasa. rihanna-cover Akiongea kwenye jarida la Vanity Fair, Rihanna alisema hawezi tu… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni