Naombeni ushauri jamani,
Nimeoa na ndoa yangu ina mwaka sasa. Mke wangu ana tabia nzuri sana
kiasi kwamba kila mtu ananisifia kuwa nimepata mke bora.Tatizo linakuja
kitandani, yaani si enjoy chochote kile kutoka kwake najikuta sina hamu
naye kabisa hali inayopelekea niwe nasingizia naumwa ili asiombe mechi.
Na nilimuoa kwa sababu ya tabia yake na hatukusex mpaka ndoa! Nashindwa
kutoka nje kwa sababu ya heshima niliyonayo ndani ya jamii na pia
kuheshimu ndoa yangu na isitoshe kwa sasa tuna mtoto mchanga. Ana
maumbile makubwa na pia maji mengi nimefikia hatua hata abaki uchi mbele
yangu sisimki kabisa.
Nimecreate account fake ili nipate ushauri please
Jamani nifanyeje kwani si enjoy kabisa maumbile yake?
Jumatano, 23 Novemba 2016
Home »
» Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu
Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu
Related Posts:
MBUNGE Godbless Lema Aingia Siku ya 22 Mahabusu MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema ameendelea kusota katika mahabusu ya Gereza la Kisongo mjini hapa akiingiza siku ya 22 leo baada ya jana kukwama katika azma yake ya kutaka Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kufa… Read More
BAADA ya WCB Kutoa Wimbo , Ommy Dimpoz Atao Mapovu, Diamond Amjibu na Kuvujisha Siri ya Ugomvi Wao Hii baada ya domo na mavoko kuachia ngoma povu likamtoka ommy akimshushia domo kuwa aache mziki wa ujanja ujanja akimanisha kuwa domo aache tabia zake za kununua view, tunzo kuwa awekeze kwenye mziki mzuri usio… Read More
Madhara ya Chai na Kahawa Kiafya Kafeina ni nini?:1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’.Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni… Read More
Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu. Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajit… Read More
VIDEO Mpya: Mabibi na Mabwana.. Tumealikwa Kuitazama Mpya ya Rich Mavoko ft. Diamond WCB wanayofuraha kutualika kuitazama video mpya ya kijana wao Rich Mavoko ambayo kamshirikisha Boss wake Diamond Platnumz, ukishamaliza kuitazama video hii ni ruhusa kuacha na comment yako umeionaje na wimbo we… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni