Naombeni ushauri jamani,
Nimeoa na ndoa yangu ina mwaka sasa. Mke wangu ana tabia nzuri sana
kiasi kwamba kila mtu ananisifia kuwa nimepata mke bora.Tatizo linakuja
kitandani, yaani si enjoy chochote kile kutoka kwake najikuta sina hamu
naye kabisa hali inayopelekea niwe nasingizia naumwa ili asiombe mechi.
Na nilimuoa kwa sababu ya tabia yake na hatukusex mpaka ndoa! Nashindwa
kutoka nje kwa sababu ya heshima niliyonayo ndani ya jamii na pia
kuheshimu ndoa yangu na isitoshe kwa sasa tuna mtoto mchanga. Ana
maumbile makubwa na pia maji mengi nimefikia hatua hata abaki uchi mbele
yangu sisimki kabisa.
Nimecreate account fake ili nipate ushauri please
Jamani nifanyeje kwani si enjoy kabisa maumbile yake?
Jumatano, 23 Novemba 2016
Home »
» Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu
Ndoa Ina Mwaka Sasa Inanishinda, Sina Hamu ya Kufanya Tendo la Ndoa na Mke Wangu
Related Posts:
Jamani Nitoke Nnje ya Ndoa..?Nahitaji Ushauri Wenu...!!! Nimevumilia majaribu ya ndoa yamenishinda, ninaishi na mke wangu lakini hatuna furaha yaani kama tumelazimishwa! Hakuna kabisa furaha, tumejaribu kukaa chini na kujadili mara nyingi sana lakini huwa anadai haku… Read More
Ukweli Mchungu..Uwepo wa WCB; Bongo Fleva Inachungulia Kaburi...!!! Hayo yote nayasema kuhusu nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Adul Juma au maarufu zaidi kwa jina la Diamond. Siku za hivi karibuni, Diamond ameanzisha zoezi la kuwachukua wanamuziki na kuwaingiza kwenye kundi lake maarufu s… Read More
Kama Umeteseka kwa Muda Mrefu,Hizi Hapa Mbinu za Kuamsha Nguvu za Kiume Kwa Muda Mrefu..!!!! Suala la nguvu za kiume kwa sasa limeshakuwa ishu kubwa kwa vijana wengi wa sasa,kwa utafiti uliofanywa mwaka 2013 na shirika la Afya duniani unaonesha kuwa zaidi ya asilimia themanini ya wanawake hawatoshelezwi kimap… Read More
Rumishael Shoo (Rummy) Ashikiliwa na Polisi Kwa Tuhuma za Dawa ya Kulevya Kamanda Sirro akiongea na waandishi wa habari amesema Jeshi la Polisi limefanikiwa kuwakamata wahalifu mbalimbali, silaha na magari mawili aina ya Noah yaliyokuwa yakitumika kufanya uhalifu. Miongoni mwa aliowata… Read More
Ishara Za Kujua Iwapo Umemkuna Mwanamke Wako Vizuri Kunako 6 X 6..!!! Leo acha niwape dondoo kadhaa kuhusu namna ya kujua kama umemkuna ipasavyo mwanamke wakati wa tendo la ndoa. 1.Kufinya shuka kwa nguvu au kitanda kwa nguvu wakati unampa mambo ni ishara mojawapo ya kuonye… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni