Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu
iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu.
Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu
nikajitoa ufahamu ili nisiishi kama fala nikajikuta nikiwa room
nikachukua mkoba wake nikawa naangalia nilihamaki baada ya kukuta mafuta
ya KY na babycare, mawazo yalinipeleka mbali sana kwa kweli hadi
kupelekea kuvuta picha tuwapo faragha mbona my wangu sehemu zake za siri
siyo kavu labda huwa anakauka (lubricant)?
Sasa nikakosa jibu ila nikaogopa kumuuliza maana ningeweza kuzua
mengine. Sasa nijikaze nimuulize au nitumie njia gani kumuuliza au haya
mafuta ya ulainishaji anatembea nayo kwa ajili gani na hajawahi kutumia
na mimi...
Jumatano, 23 Novemba 2016
Home »
» Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu
Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu
Related Posts:
Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha? Michuano ya kombe la dunia ipo kwenye hatua ya robo fainali ambayo itaanza rasmi Ijumaa hii. Michuano hii ya mwaka huu imekuwa na magoli mengi na bora katika historia ya michuano hii mikubwa kabisa katika soka.youngluvega.c… Read More
Dar es salaam Julai 02, 2014, Gari hili la Magereza lapigwa risasi likiwa na wafungwa ndani. Taarifa za awali zinadai kuwa Basi lililokuwa limebeba wafungwa limeshambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana eneo la Mayfair Mikocheni jijini Dar es salaam.Basi hili lilikuwa likitokea mahakama ya Mwanzo Kawe ambapo kwa… Read More
Malalamiko ya Shilole kuhusu Dj wa Club anayetaka kumdhulumu Laptop yake. Kutoka kwa Soudy Brown kupitia You heard ya leo Shilole amelalamika juu ya mtu anayedai kumuazima laptop yake lakini anaonekana ana dalili za kumdhulumu baada ya simu zake kuwa hapokei, amemtaja kwa jina la Dj Ommy Crazy am… Read More
Jinsi Beyonce alivyobadilisha mistari ya wimbo wake jukwaani kufuatia matatizo ya ndoa yake. Wanandoa Beyonce na Jay Z wamekuwa wakipambana na uvumi kuwa sasa ndoa yao iko juu ya mawe kutokana na matatizo makubwa yanayoendelea tangu kusambaa kwa video ikimuonyesha dada wa Beyonce Solange akimshambulia Jay Z. Na s… Read More
Taarifa ya Kaimu Balozi wa Libya, Tanzania aliyejiua kwa kujipiga risasi. Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania leo imepokea taarifa kutoka ubalozi wa Libya nchini ikieleza kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya Bw. Ismail Nwairat, amefariki dunia jana kwa kujipiga risa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni