Jumatano, 23 Novemba 2016
Home »
» VIDEO Mpya: Mabibi na Mabwana.. Tumealikwa Kuitazama Mpya ya Rich Mavoko ft. Diamond
VIDEO Mpya: Mabibi na Mabwana.. Tumealikwa Kuitazama Mpya ya Rich Mavoko ft. Diamond
WCB wanayofuraha kutualika kuitazama video mpya ya kijana wao Rich
Mavoko ambayo kamshirikisha Boss wake Diamond Platnumz, ukishamaliza
kuitazama video hii ni ruhusa kuacha na comment yako umeionaje na wimbo
wenyewe ili wakipita baadae wajue watu wao wameipokeaje.
Related Posts:
Rais Kikwete Aachia Madara Kistaili...Awasamehe Wafungwa 4,160 Watoke Gerezani RAIS mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, Jakaya Kikwete ametoa msamaha kwa wafungwa 4,160 katika kuaga na kukabidhi madaraka ya Serikali kwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Dk Magufuli aliapishwa jana kuwa Rai… Read More
Maskini..Lowassa Asalimu Amri Kwa Polisi...Atoa Ujumbe Huu Hapa Kwa Wafuasi Wote wa Ukawa Kuhusu Mkutano Wake Maskini..Lowassa Asalimu Amri Kwa Polisi Kuhusu Mkutano aliokuwa aufanye kuongea na Wananchi...Atoa Ujumbe Huu Hapa Kwa Wafuasi Wote wa Ukawa Kuhusu Mkutano Wake … Read More
Mke wa Deo Filikunjombe Ampigia Kampeni Mdogo wa Filikunjombe Achukue Ubunge Jimbo Aliloliacha Mmewe..Adai Wengine Msiwasikilize Hawana Hata Mahali pa Kufikia Ludewa Tanzania bado iko kwenye majonzi baada ya msiba wa aliyekuwa mbunge wa Ludewa,Deo Najua kuna watu walikuwa na maswali juu ya atakayewaongoza wakazi wa Ludewa, sasa leo Novemba 5, 2015 mke wa marehemu Deo Filikunjombe ‘ S… Read More
Mchumba Wangu Ameanza Kuvaa ''SHANGA" Miguuni...Nahisi Ameanza Kamchezo.... Nimekuwa kwenye mahusiano ya takribani miaka mitatu(3) sasa na msichana ambaye awali alikuwa yupo chuoni ila kwa sasa ni mfanyakazi taasisi fulani hivi (jina kapuni). Amepangiwa nje ya MKOA wa DAR nilipo. Tulipoa… Read More
Watanzania Wasiwekeze Kila Kitu Kwa Mbwana Samatta na Thomas Ulimwengu Mbwana Samatta (kushoto) pamoja na Thomas Ulimwengu (kulia) Stars inatoka katika kambi ya wiki moja na siku kadhaa nchini Afrika Kusini itawakabili ‘Mbweha wa Jangwani’ baada ya kufuzu hatua ya kwanza kwa ushindi wa ju… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni