Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa
kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua
kimoja.
Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka
umbo na kwa sie waafrika toka kale tupo katika umbo tunamaanisha kalio
lililoshiba vizuri yani msambwanda kwa lugha ya mtaani.
Lakini kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti
iliyokamili, ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura
nzuri lakini nyuma flat screen na binti asiye na sura nzuri ila nyuma
amesheheni vizuri au ana umbo zuri upendalo utachagua yupi? Mimi binafsi
msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.
Karibuni wadau
Jumanne, 14 Februari 2017
Home »
» Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Related Posts:
Watoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa SudanWatoto elfu 250 huenda wakafa kwa njaa Sudan Mshirikishi mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa nchini Sudan Kusini, Toby Lanzer, amesema kuwa takriban watoto laki mbili u nusu wamo katika hatari ya kufa katika kipindi cha m… Read More
Ni Diamond Platnumz tena kwenye Headlines time hii kamshirikisha Mr. Flavour Hii ni kolabo nyingine kutoka kwa Mtanzania Diamond Platnumz ambayo hii kamshirikisha mkali kutoka Nigeria Mr.Flavour wimbo unaitwa Nana,video imefanywa na GodFather mtu wangu. Diamond Platnumz ametumia dakika hizi tatu&nb… Read More
DAVID LUIZ:'NIMEWAHI KUSHIRIKI NGONO'David Luiz kushoto Mlinzi wa klabu ya Paris St-Germain David Luiz amevishtumu vyombo vya habari kwa kukosa heshima baada ya kukanusha madai kwamba yeye hajawahi kushiriki katika tendo la ngono. Ripoti hizo zilianz… Read More
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye #TuzozaWatu2015.. Pichaz na list yote ya washindi iko hapa Kilichosubiriwa kwa hamu na watu wengi ni tukio zima la Tuzo za Watu ambapo fainali yake ilikuwa jana MAY 22 2015.. Kutokana na utaratibu uliowekwa washiriki wote waliteuliwa na watu na baadae mchakato ukakamilika … Read More
IRELAND YAFANYA MAAMUZI KUHUSIANA NA NDOA ZA JINSIA MOJAwapiga kura wajitokeza kwa wingi nchini Ireland ili kuamua kuhusu kuhalalishwa kwa ndoa za watu wa jinsia moja. Wapiga kura wengi wameripotiwa kujitokeza kwenye kura ya maoni nchini Ireland ya kuamua iwapo ndoa za watu w… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni