Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa
kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua
kimoja.
Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka
umbo na kwa sie waafrika toka kale tupo katika umbo tunamaanisha kalio
lililoshiba vizuri yani msambwanda kwa lugha ya mtaani.
Lakini kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti
iliyokamili, ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura
nzuri lakini nyuma flat screen na binti asiye na sura nzuri ila nyuma
amesheheni vizuri au ana umbo zuri upendalo utachagua yupi? Mimi binafsi
msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.
Karibuni wadau
Jumanne, 14 Februari 2017
Home »
» Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Related Posts:
Uwoya ni Gusa Unate..!!!! Msanii maarufu wa filamu Bongo, Irene Uwoya (pichani) anatajwa kuwa kati ya mastaa wa kike Bongo aliyewahi kutoka na mastaa na vigogo mbalimbali huku ikidaiwa kuwa, kila aliyekuwa naye alimuacha yeye na si kua… Read More
Issue ya Masogange Kushikiliwa na Polisi ka Kuhusika na Madawa ya Kulevya, Uwoya Amlipua Wema...!! Lile sakata la masogange kuwekwa ndani kwa shutuma za madawa ya kulevya, limeingia ukurasa mpya baada ya hivi karibuni rafiki wa masogange ambaye pia ni staa wa filamu aitwaye Irene uwoya, kumjia juu wema sepetu baa… Read More
Baada ya Kumuita Nyani, Iyobo Amvaa Tena Harmorapa...!!!! KIONGOZI wa madansa ambaye ni dansa tegemezi wa Wasafi Classic Baby (WCB) Mose Iyobo amefunguka kuwa yeye hana imani na Harmorapa na anashangaa anavyotajwa kila mahali kwani yeye hajawahi kusikia kazi yake yoyote hi… Read More
Ulimi Kisimini-Siri Ya Mwanamke Kufika Kileleni. Kwa kawaida wanawake wanafikia kilele (mwisho wa utamu wa tendo) kati ya dakika ishirini na saa moja, yaani kwa kifupi inawachukua muda mrefu sana hali inayopelekea mpenzi mvivu kuchoka na ufanyaji wake utakuwa w… Read More
MSUMBIJI: Mwanamke wa Kitanzania Abakwa Mpaka Kufa. Serikali Imefungwa Pasta? Jamani, Hii inasikitisha sana tangu kuanza kusikika kwa sakata la watanzania kufurushwa uko msumbiji mengi yametokea lakini serikali yetu inaonesha kuwakandamiza watanzania kuwaonesha hawakuwa wakiish kihalali kabis… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni