Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa
kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua
kimoja.
Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka
umbo na kwa sie waafrika toka kale tupo katika umbo tunamaanisha kalio
lililoshiba vizuri yani msambwanda kwa lugha ya mtaani.
Lakini kwa bahati mbaya sio mara nyingi mtu hubahatika kupata seti
iliyokamili, ndipo hapo napopenda kujua je kati ya binti mwenye sura
nzuri lakini nyuma flat screen na binti asiye na sura nzuri ila nyuma
amesheheni vizuri au ana umbo zuri upendalo utachagua yupi? Mimi binafsi
msambwanda ndio ugonjwa wangu sura sio issue sana.
Karibuni wadau
Jumanne, 14 Februari 2017
Home »
» Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Mwanake ni Sura au Msambwanda?
Related Posts:
Fahamu Maajabu ya Nanasi Ambayo Yatakuacha Kinywa Wazi..!!! BAADHI ya watu wamekuwa wakidai tunda la nanasi kuwa siyo salama kwa akina mama wajawazito, ingawa suala hili bado halijathibitishwa kitaalamu, kwani wapo wanaokula na haijawahi kuripotiwa madhara. Linatumika kama tunda… Read More
Wakati Mwingine Wanasiasa Wawe Wakweli, Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa Hakuwa na Ziara Rasmi Tanzania..!!!! Naona watu wameibeba hii ya Katibu Mkuu wa UN kama "ajenda" tena,huku namuona Mtatiro akirusha makombora,na huku Mbunge Msigwa akirusha kwa upande wa pili.Vijana nao wamebeba mitandaoni kama ajenda ya kumalizia week k… Read More
Laurence Masha Ajitoa Kugombea Urais TLS, Amuunga Mkono Tundu Lissu Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) Ndg. Laurence Masha amejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho kwa hoja kuwa anaamini uwezo wa Lissu katika kuiongoza TLS.Amewaomba mawakili wote waliopanga kumpigia kura wampigie… Read More
Ndoto za Mbwana Samatta Kucheza na Mau United Zawekwa Pending Ndoto za mshambuliaji wa timu ya KRC Genk ya Ubelgiji Mtanzania Mbwana Samatta za kukanyaga katika dimba la Old Trafford la Manchester United zimesubirishwa baada ya matokeo ya droo ya robo fainali kombe la Europa kwenda k… Read More
NINI CHA KUFANYA BAADA YA KUMALIZA KUFANYA MAPENZI Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia siha njema na pia kwa kunipa mwangaza wa kuandika hiki ninachokusudia. Pia niwashukuru wapenzi wasomaji wa safu hii ambao tumekuwa tukiwasiliana na kushauriana hili na lile ka… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni