Mgombea Urais wa Chama cha Wanasheria nchini (TLS) Ndg. Laurence Masha amejitoa kwenye kinyang'anyiro hicho kwa hoja kuwa anaamini uwezo wa Lissu katika kuiongoza TLS.
Amewaomba mawakili wote waliopanga kumpigia kura wampigie Tundu Lissu.
Tibaigana Afunguka...Huyu Ndiye Rais Niliyemtaka
Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda
Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna mstaafu Alfred Tibaigana amesema Rais
John Magufuli amepatikana wakati sahihi, kwa kuwa nchi inamhitaji
kiongozi ambaye akitoa amri inatek…Read More
0 comments:
Chapisha Maoni