VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido.
Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na
baadhi ya watu kwamba amekuwa akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo
halina ukweli wowote.
“Kwanza kabisa Davido ni shemeji yangu lakini pia kuna ‘project’
kubwa ambayo tunaiandaa. Mtakuja kuelewa tu hapo mbeleni na si jambo la
kusema ni wapenzi bila kuthibitisha,” alisema Masogange.
Alhamisi, 15 Oktoba 2015
Home »
» KILA KITU AANIKA:HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
KILA KITU AANIKA:HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
Related Posts:
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia. Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier Leag… Read More
RAIS KABILA AMFUKUZA KAZI WAZIRI ALIYEPIGA PUNYETO OFISINI Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amemfukuza kazi Naibu Waziri wa Posta na Mawasiliano, Enock Sebineza kutokana na utovu wa nidhamu baada ya kuvuja kwa video mitandaoni ikimuonesha akijichua nyeti zake a… Read More
Meya wa Kinondoni Agawa Bure Maeneo ya Biashara Leo na Kufuta Umiliki wa Vibanda na Vizimba 100Meya wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam Mstahiki Boniface Jacob amezua taharuki kwa wamachinga wa ubungo na kukimbia biashara zao wakiambatana naye mithili ya Maandamano mara baada ya kutangaza kufuta umiliki wa vi… Read More
Lulu Michael:Mastaa Bongo Mtaishia Kuchambana Instagram tuuZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini.… Read More
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikite… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni