VIDEO Queen mwenye umbo tata Bongo, Agness Jerald ‘Masogange’ alifungukia penzi lake na staa wa muziki kutoka Nigeria, Davido.
Akizungumza na Amani Masogange alisema kuwa kuna uvumi unaovumishwa na
baadhi ya watu kwamba amekuwa akitoka kimalovee na Davido jambo ambalo
halina ukweli wowote.
“Kwanza kabisa Davido ni shemeji yangu lakini pia kuna ‘project’
kubwa ambayo tunaiandaa. Mtakuja kuelewa tu hapo mbeleni na si jambo la
kusema ni wapenzi bila kuthibitisha,” alisema Masogange.
Alhamisi, 15 Oktoba 2015
Home »
» KILA KITU AANIKA:HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
KILA KITU AANIKA:HATIMAYE AGNESS MASOGANGE AFUNGUKIA PENZI LA DAVIDO
Related Posts:
Kigogo wa Bandari Afariki Kwa Presha...Undani wa Kifo chake Waelezwa Hapa WAKATI Rais John Magufuli akiwa kwenye zoezi la kutumbua majipu kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), mshtuko mkubwa umetokea kufuatia kigogo mwenye wadhifa wa Artsan One… Read More
Ujerumani Yamsifu Rais Magufuli Kwa Kupambana na Ufisadi Kwa Vitendo.....Yaahidi Kumpa Ushirikiano Serikali ya Ujerumani imeeleza kufurahishwa na kasi ya kupambana na rushwa na ufisadi ya Rais John Magufuli na kuahidi kumpa ushirikiano katika masuala ya maendeleo. Ujerumani inakuwa nchi ya kwanza ya kigen… Read More
Taarifa Sahihi Kuhusu Hotel ya Serena Kufungwa Kwa Amri ya Serikali Kwa Kosa la Kukwepa Kulipa Kodi Serena Hotel HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi. Tetesi h… Read More
Watorosha Makontena Bandarini Bila Kulipia Ushuru Hawa Hapa...Majina Yatajwa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita. Aidha, TRA im… Read More
Diamond Platnumz na Mama yake Wakaa Kikao Kizito..Kisa ZariSupastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mama’ke mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’ wamelazimika kukaa kikao kizito ili kupata muafaka wa mzazi mwenzake na staa huyo, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kurejea Bongo n… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni