Rihanna anasema yeye ni kama wanawake wengine kiasi cha kuwa na hamu ya
kufanya mapenzi na kwamba hajavunja amri ya sita kwa muda mrefu sasa.
rihanna-cover
Akiongea kwenye jarida la Vanity Fair, Rihanna alisema hawezi tu kufanya mapenzi na mtu ambaye hajamuingia moyo.
Haya ndio aliyoyasema:
If I wanted to I would completely do that. I am going to do what
makes me feel happy, what I feel like doing. But that would be empty for
me; that to me is a hollow move. I would wake up the next day feeling
like s–t,” she shared. “That’s why I haven’t been having sex or even
really seeing anybody. Because I don’t want to wake up the next day
feeling guilty. I mean I get horny, I’m human, I’m a woman, I want to
have sex. But what am I going to do—just find the first random cute dude
that I think is going to be a great ride for the night and then
tomorrow I wake up feeling empty and hollow? He has a great story and
I’m like … what am I doing? I can’t do it to myself. I cannot. It has a
little bit to do with fame and a lot to do with the woman that I am. And
that saves me.”
Kwenye mahojiano hayo pia, Rihanna alizungumza uhusiano wake na Chris
Brown. “Nilikuwa msichana yule,” alisema Rihanna kueleza kwanini
alimrudia Chris Brown licha ya kumjeruhi vibaya mwaka 2009.
“Msichana yule aliyehisi maumivu makali kama uhusiano huu ulivyokuwa,
pengine watu wengine wameumbwa kuwa na nguvu kuliko wengine. Pengine
mimi ni miongoni mwa wale watu ambao wameumbwa kumudu mambo kama haya.
Pengine mimi ni mtu ambaye ni kama malaika wa ulinzi kwa mtu huyu,
kuwepo pale wanapokuwa hawajiwezi, pale wanaposhindwa kuielewa dunia,
pindi wanapohitaji tu mtu wa kuwapa moyo katika njia chanya na kusema
mambo sahihi.”
Rihanna anadai alidhani angembadilisha Breezy.
“Kwa asilimia mia. Nilikuwa nikimtetea sana,” alieleza Rihanna.
“Nilihisi kwamba watu walikuwa hamwelewi. Lakini unajua, unagundua
baada ya muda kuwa katika mazingira hayo wewe ndiye adui. Unataka mambo
mema kwao, lakini unapowakumbusha kuhusu waliyokosea, ama kama
ukiwakumbusha vipindi vibaya katika maisha yao, ama tu ukisema nipo
tayari kuvumilia jambo fulani, hawakufirii – kwasababu wanajua
haustahili kile wanachoenda kukupa.”
Pamoja na hayo, Rihanna amesema hamchukii CB.
“Nitamjali mpaka siku nakufa. Sisi sio marafiki lakini si kwamba ni maadui. Hatuna uhusiano mkubwa sasa.”
Alhamisi, 15 Oktoba 2015
Home »
» Rihanna:NINA HAMU YA KUFANYA MAPENZI LAKINI.......(PICHA)
Rihanna:NINA HAMU YA KUFANYA MAPENZI LAKINI.......(PICHA)
Related Posts:
Bella Amfumania Kalama na Mchepuko Ambae ni Mdogo wake...Avua Pete ya Uchumba Isabelah na Wagoni wake Tukio hilo lilijiri nyumbani kwa Bella, Makumbusho jijini Dar es Salaam baada ya kurejea ghafla kutoka safari ya kimuziki kwenye kampeni za udiwani katika Mikoa ya Iringa na Morogoro. Siku ya tu… Read More
Matokeo ya Mtihani wa Kitaifa wa Darasa la Saba 2015 Yako Hapa Haya ndo Matokeo...Bonyeza Mkoa husika kuyaona ARUSHADAR ES SALAAMDODOMA IRINGAKAGERAKIGOMA KILIMANJAROLINDIMARA MBEYAMOROGOROMTWARA MWANZAPWANIRUKWA RUVUMASHINYANGASINGIDA TABORATANGAM… Read More
Mengi Azomewa Diamond Jubilee, Aokolewa na Membe Mzee yamemkuta leo pale kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee leo.Ameokolewa na Mh Membe ambaye amemtoa kwa gari lake(pichani).Lakini pia Mwandishi Sam Maela wa ITV leo mchana kapata mshike mshike wa kushiba pale Lumumba,ili… Read More
Nimeikumbuka Kauli ya DK SLAA "Chama Changu Chadema Hakiwezi Kushinda Urais Mwaka huu 2015 Kutokana na Kula Matapishi Yetu..." DK Slaa "Chadema hakikuwa chama cha kukumbatia ufisadi na mafisadi..hakikuwa chama cha kusomba watu na magari mikutanoni...hakikuwa chama cha kuiba na kununua kura...sasa Chadema hii si ile tulioijenga.... nimeamua kus… Read More
Watu Sita Wapoteza Maisha Katika Ajali ya Gari Morogoro Watu sita wamefariki dunia baada ya gari ndogo waliokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la abiria mali ya kampuni ya Princess Muro, lililokuwa likitokea Dar es salaam kuelekea Tunduma, katika eneo la hifadhi … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni