Kwenye zama hizi za Hapa kazi tu za Mheshimiwa Rais John Magufuli,tunashuhudia mambo mengi ambayo mengine tulikua hatuyafikirii kama yanawezekana kufanyika kutoka kwa viongozi wetu,Dec 12Mawaziri na Manaibu wao walioteuliwa na Rais Magufuli waliapishwa na baada ya kuapishwa wapo walioendelea na majukumu yao. Miongoni
mwa Manaibu Waziri walioanza kazi yao mapema ni pamoja na Naibu Waziri
wa Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia ,Wazee na Watoto Dokta Hamis
Kigwangwala baada ya kula kiapo alifanya ziara ya kushtukiza Dec 12
kwenye hospital ya Amana iliyopo Ilala Dar es salaam,nimenasa baadhi ya
picha na video mtu wangu. Hii ni video alipoenda kwenye chumba cha Utra Sound.
Hana Hamu ya Kufanya Mapenzi na Mimi..Naomba Ushauri
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30, nina mpenzi wangu wa muda mrefu
toka 2014 japo mapenzi yetu yamekuwa hayana muendelezo muzuri kutokana
na tabia za huyu mwenzangu. Tulianza mahusiano yetu vizuri sana baadae
mwenzan…Read More
Yaliyojiri Mahakamani Kisutu Kesi ya Masogange..!!!!
KIMUHEMUHE kilitanda kwenye viunga vya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu
leo Feb 17, 2017, kufuatia ndugu, jamaa na marafiki wa model, Agness
Masogange kufurika huku wakitarajia kumuona ndugu yao huyo akifikishwa
…Read More
0 comments:
Chapisha Maoni