Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy.
Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini
nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi
hapa nikamwambia mi natamani mambo flani. Yule dada alinikubalia lakini
akasema shida kubwa ni kuwa jamaa yake mshirikina alimwekea dawa hivyo
tukikutana naweza pata matatizo, anasema watu wa Morogoro/waruguru ndo
zao hizo.
Sasa hajui atafanyaje maana anasema aliwahi achana na jamaa akawa na mtu
mwingine yule jamaa aliyetembea naye alipata matatizo makubwa sana hadi
ikabidi yule dada arudi akamwambie Mluguru amwachie jamaa awe salama.
Toka kipindi hicho dada amekuwa hana amani anashindwa sasa afanyeje.
Aliniambia maneno haya kwa uchungu sana nami nikimwona kiukweli anataka
sana nimkandamize yaani hata tukiongea hivi namwona tu jinsi macho
yanavyochoka nami mzuka unapanda natamani nimnaniii hivyo hivyo lakini
ananikataza anasema coz she loves me hapendi nipate shida.
Sasa hapa wadau nifanye nini? Mambo kama haya sisi wengine hatushiriki
ushirikina matatizo yetu ni K tu lakini kwa waganga hatujawah kwenda.
Sasa hapo nafanyaje?
Tusaidiane tafadhali maana hali inakuwa ngumu sana kwetu sote.
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Related Posts:
Waziri Makamba Awasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.Serikali inaendelea kusimamia mazingira na kuhakikisha mifuko ya plastiki inayotumika nchini iwe ni ile inayokidhi viwango vianavyokubalika ili kuondokana na changamoto ya kuzagaa kwa mifuko hiyo katika maeneo mbalimbali. Kau… Read More
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikite… Read More
Aliyejifungua Watoto 3 Anaomba Asaidiwe kwani naye ni Mgonjwa wa Pumu MKAZI wa Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma Julietha Sokoine (24) amejifungua watoto wa watatu na ameiomba serikali, taasisi,mashirika na watu binafsi kumpatia msaada wa kifedha utakaomsaidia k… Read More
Donald Trump Asema Uchina “inaibaka” MarekaniMgombea mkuu wa chama cha Republican Donald Trump ameshutumu Uchina na kusema imekuwa “ikiibaka” Marekani kupitia sera zake za kibiashara. Ameambia watu waliohudhuria mkutano wa kisiasa Indiana kwamba Uchina imekuwa ikitekele… Read More
Baada ya Kutoka Marekani Mtoto Getrude Clement Akaribishwa Bungeni LeoGetrude Clement mwenye umri wa miaka 16 ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha tatu anayesoma shule ya Sekondari Mnarani iliyopo jijini Mwanza, leo amepata nafasi ya kufika bungeni Dodoma baada ya kupewa mwaliko wa Serikali Hivi … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni