Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy.
Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini
nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi
hapa nikamwambia mi natamani mambo flani. Yule dada alinikubalia lakini
akasema shida kubwa ni kuwa jamaa yake mshirikina alimwekea dawa hivyo
tukikutana naweza pata matatizo, anasema watu wa Morogoro/waruguru ndo
zao hizo.
Sasa hajui atafanyaje maana anasema aliwahi achana na jamaa akawa na mtu
mwingine yule jamaa aliyetembea naye alipata matatizo makubwa sana hadi
ikabidi yule dada arudi akamwambie Mluguru amwachie jamaa awe salama.
Toka kipindi hicho dada amekuwa hana amani anashindwa sasa afanyeje.
Aliniambia maneno haya kwa uchungu sana nami nikimwona kiukweli anataka
sana nimkandamize yaani hata tukiongea hivi namwona tu jinsi macho
yanavyochoka nami mzuka unapanda natamani nimnaniii hivyo hivyo lakini
ananikataza anasema coz she loves me hapendi nipate shida.
Sasa hapa wadau nifanye nini? Mambo kama haya sisi wengine hatushiriki
ushirikina matatizo yetu ni K tu lakini kwa waganga hatujawah kwenda.
Sasa hapo nafanyaje?
Tusaidiane tafadhali maana hali inakuwa ngumu sana kwetu sote.
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Related Posts:
Gigy Money Afunguka Kuhusu Mapicha yake ya Nusu Utupu Mtandaoni..Adai Ndio zinampatia Pesa.....Video queen aliyetokelezea kwenye video kibao za bongo Gigy Money ameamua kufunguka juu ya masinema yake. Giggy ambaye haishi vituko na kuibua mapya kila siku mitandaoni aliiambia eNewz kuwa yeye wala hajali maneno ya watu na… Read More
Mama Wema Sepetu Aonyesha Alivyoumbika Adai Mtoto wake Amechukua Kwake..Awashangaa Wanaosema Wema Ametumia Dawa Kukuza MakalioMama Wema Sepetu Ameongea na Kusema kuwa anawashangaa wale wote wanaosema mtoto wake ameongeza makalio kwa dawa wakati wanaona kabisa kuwa amerisi makalio hayo kutoka kwa mama yake...Mama huyo amekwenda mbali zaidi na kuweka … Read More
HASARA ZA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFUUkidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogo madogo yanaweza kujitokeza kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa kiafya karibu twende sawa katika darasa la leo Mwalimu ndio nshakuandalia vitu vitamu jisomee ili uf… Read More
Wanawake Muwe Makini… Huyu Amefariki Guest House kwa Kulishwa Sumu, Mwanaume KakimbiaTukio limetokea Guest House Kimara Dar es salaam usiku wa May 1 2016 ambapo Mwanaume mmoja aliyeingia kwenye nyumba hiyo ya Wageni akiwa na Mwanamke, alikimbia kwa kusingizia kwenda dukani kununua vocha wakati Mwanamke huyo a… Read More
Diamond Azipangua Shutuma za Kutoka na Mrembo Lyyn..Adai Wanajaribu Lakini ZariDiamond Ameamua Kuwakata watu vidomo wanaosema kuwa yeye na Zari kwa sasa hakuna mawasiliano mazuri kisa mrembo aliyecheza kwenye video mpya ya Rayvan...kwa kumpost Zari kwenye page yake ya Instagram...Tetesi za Diamond kutok… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni