Nimempata dada mmoja mitaa fulani, ni mzuri sana na she is sexy.
Kiukweli tumependana nami nilivyomuona tu siku ya kwanza pale ofisini
nilimpenda nikaomba tuwe na ukaribu. Tukaanza ukaribu basi juzi juzi
hapa nikamwambia mi natamani mambo flani. Yule dada alinikubalia lakini
akasema shida kubwa ni kuwa jamaa yake mshirikina alimwekea dawa hivyo
tukikutana naweza pata matatizo, anasema watu wa Morogoro/waruguru ndo
zao hizo.
Sasa hajui atafanyaje maana anasema aliwahi achana na jamaa akawa na mtu
mwingine yule jamaa aliyetembea naye alipata matatizo makubwa sana hadi
ikabidi yule dada arudi akamwambie Mluguru amwachie jamaa awe salama.
Toka kipindi hicho dada amekuwa hana amani anashindwa sasa afanyeje.
Aliniambia maneno haya kwa uchungu sana nami nikimwona kiukweli anataka
sana nimkandamize yaani hata tukiongea hivi namwona tu jinsi macho
yanavyochoka nami mzuka unapanda natamani nimnaniii hivyo hivyo lakini
ananikataza anasema coz she loves me hapendi nipate shida.
Sasa hapa wadau nifanye nini? Mambo kama haya sisi wengine hatushiriki
ushirikina matatizo yetu ni K tu lakini kwa waganga hatujawah kwenda.
Sasa hapo nafanyaje?
Tusaidiane tafadhali maana hali inakuwa ngumu sana kwetu sote.
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Jamaa Yake Amemwekea Tego, Msichana Yupo Tayari Kunipa Papucha ila Anaogopa Tutanasiana au Ntapata Tatizo
Related Posts:
Lulu Michael:Mastaa Bongo Mtaishia Kuchambana Instagram tuuZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini.… Read More
Meya wa Kinondoni Agawa Bure Maeneo ya Biashara Leo na Kufuta Umiliki wa Vibanda na Vizimba 100Meya wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam Mstahiki Boniface Jacob amezua taharuki kwa wamachinga wa ubungo na kukimbia biashara zao wakiambatana naye mithili ya Maandamano mara baada ya kutangaza kufuta umiliki wa vi… Read More
Zitto: Millioni 50 za Magufuli Kila Kijiji ni Hadaa Kwa Wananchi.MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, amesema Serikali ya Awamu ya Tano imewahadaa wananchi kuhusu kuwapa Sh. milioni 50 kila kijiji/mtaa huku akiamini ahadi hiyo haitekelezeki. Zitto alisema ahadi hiyo "kimahe… Read More
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia. Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier Leag… Read More
Prof. Tibaijuka: Rais Magufuli Aache Kutumbua Nyama Akayaita Majipu..Wengine Tunatolewa Kafara na Mtandao HauguswiAkiongea na Count Down ya Clouds Fm Prof Tibaijuka amesema yeye ni muhanga wa ufisadi. Amesema kuna mtandao wa mafisadi unaotoa watu kafara na wenyewe hauguswi. "Naafiki kuanzishwa kwa mahakama ya mafisadi, labda itasaidia ku… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni