Rais John Magufuli anaongoza kura za kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa
Person of The Year’, ambayo hutolewa kwa watu walioonyesha mchango kwa
jamii.
Huku zikiwa zimebaki siku 21 kwa mshindi wa tuzo hiyo kutangazwa, Rais
Magufuli anachuana na Rais wa Mauritius, Ameenah Gulib; Mwendesha
Mashtaka wa Afrika Kusini, Thuli Madonsela; Mwanzilishi wa Capitec Bank,
Michiel Le Roux na Taifa la Rwanda.
Mpaka jana jioni, Dk Magufuli alikuwa anaongoza kwa asilimia 75
likifuata Taifa la Rwanda na nafasi ya tatu alikuwa Madonsela wa Afrika
Kusini.
Rais Magufuli anayetimiza mwaka mmoja madarakani wiki ijayo, utendaji
wake umeonekana kuwagusa wananchi wa kipato cha chini, hasa kwa falsafa
yake ya Hapa Kazi, uwajibishaji na mikakati yake ya kubana matumizi ili
kuokoa fedha kwa kuzuia sherehe zisizo na tija.
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Rais Magufuli Aongoza Kura Kuwania Tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’
Rais Magufuli Aongoza Kura Kuwania Tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’
Related Posts:
NICKSONLUV TECNOMILES waachia Ngoma yao inayofanya vizuri ulimwenguni play hapo chini kuona video &nbs… Read More
Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu ya Desemba 7, Ikiwemo ya Kukosekana Kwa Mawaziri Kwaokoa Mamilioni … Read More
Tibaigana Afunguka...Huyu Ndiye Rais Niliyemtaka Aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna mstaafu Alfred Tibaigana amesema Rais John Magufuli amepatikana wakati sahihi, kwa kuwa nchi inamhitaji kiongozi ambaye akitoa amri inatek… Read More
Katibu Mkuu Tamisemi Akagua Miundombinu ya Mfumo wa Mabasi Yaendayo Haraka WATOA huduma katika kipindi cha mpito cha mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini Dar es Salaam, kampuni ya UDA-RT wameihakikishia serikali na wananchi kuwa matayarisho yanaendelea vizuri tayari kwa huduma hi… Read More
Jakaya Kikwete Aibukia 'Sauzi' Magufuli Akitumbua Majipu Magogoni Aliyomwachia.... Wakati Rais John Magufuli akitimiza siku 31 akiwa amejifungia Ikulu kutatua kero za nchi bila kusafiri nje ya nchi, Rais mstaafu Jakaya Kikwete (pichani) ameendelea kujumuika katika hafla za kimataifa baada… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni