Diamond Jana amefika kwa mara ya kwanza kwenye nyumba ambayo alinunua South Afrika na Kuandika Yafuatayo....
"Asa kunya nakunya mie makalio yanawauma wengine, eti inahuu....? Wambie
wasininunie mie, wakazane....halaf hii clip naomba wanangu mnisaidie
kuwatag wote waliokuwa busy kupost na kuzungumza Kuwa nyumba hii si
yangu....waambie hizi ndio kwanza rasharasha clip hata kupost sijaanza
bado....soon naamia ndani😂😂...halaf nlisahau, wakikwambia mie mswahili
wambie Mswahili haswaaa👌... halaf uswahili wangu najua kuutumia na
umefanya leo niwe na kibanda south asa wao Uzungu wao Umewapa mini"
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Diamond Platnumz Awatupia Madongo Walio Kuwa Wanasema Hajanunua Nyumba South Afrika...Adai Uswahili wake Unamlipa
Diamond Platnumz Awatupia Madongo Walio Kuwa Wanasema Hajanunua Nyumba South Afrika...Adai Uswahili wake Unamlipa
Related Posts:
LIST YA WACHEZAJI 16 AMBAO WANAONGOZA KWA MAGORI KOMBE LA DUNIA Michuano ya kombe la dunia imefiki hatua ya 16 bora.Huku ikionekana ni michuano ambayo ina magoli mengi mpaka hatua hii magoli 150 yameingia wavuni.Mshambuliaji wa colombia JAMES RODRIGUEZ ndio anaongoza mpaka sasa … Read More
Mshindi wa tuzo ya BET iliyokuwa inawaniwa na Diamond Platnumz pia. Hii ilikua siku nyingine muhimu kwa Tanzania na Africa kwa ujumla ambapo yalikua yanasubiriwa matokeo ya tuzo ya BET sanasana kipengele wanachowania tuzo wasanii wa Afrika akiwemo Diamond Platnumz.Davido kutoka Nigeria ndio… Read More
Alichokisema diamond baada ya kukosa tuzo Hii ndio kauli ya diamond baada ya davido kutwaa tuzo ya BET.Amewashuku watanzania na mashabiki wake duniani kote kwa kumsapoti hadi kufika pale alipofikia ingawa hakubahatika kupata tuzo yoyote ya kimataifa kwa mwaka… Read More
UMEISIKIA HII INAYOUSU MKATABA WA YOUNG KILLER NA MENEJA WAKE MONA GANGSTAR Mkataba wa Young killer pamoja na meneja wake ambaye vilevile ni produce wake Mona Gangstar,inawezekana huko mwishoni ingawa unaisha december mwezi huu ingawa taarifa hazina huakika. … Read More
UMEICHEKI VIDEO YA KALA JEREMIAH ALIYOMSHIRIKISHA MO MUSIC IKO HAPA Inawezekana ikawa ndiyo wimbo wa kwanza kushirikishwa na msanii kubwa baada ya kuchomoza na single yake ya Basi Nenda huyu ni Mo Music ambapo Tanzania imemtambua kwa singo yake ya Basi Nenda ambayo kupitia Clouds Fm T… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni