Rais Dkt John Pombe Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year.’
Anachuana na watu wengine wanne wakiwemo: Rais wa Mauritania, Ameenah
Gulib, Mwanzilishi wa Capitec Bank, Michiel Le Roux na Thuli Madonsela
wa Afrika Kusini pamoja na watu wa Rwanda.
Zimebaki siku 22 za kupiga kura. Unaweza kumpigia kura Rais Magufuli kwa
kubonyeza hapa. Hadi sasa Rais Magufuli anaongoza kwa asilimia nyingi
(73%).
Mwaka huu tuzo hizo zitatolewa jijini Nairobi, Kenya November 17.
Wafuatao ni washindi wa tuzo hiyo miaka ya nyuma
Mohammed Dewji (Tanzania)– 2015
Aliko Dangote (Nigeria)– 2014
Akinwumi Adesina (Nigeria) – 2013
James Mwangi (Kenya) – 2012
Sanusi Lamido Sanusi (Nigeria)- 2011
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Rais Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ingia hapa kumpigia kura
Rais Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ingia hapa kumpigia kura
Related Posts:
Huwa Napata Shida sana Nikikutana na Wanawake Wenye Hii Tabia Huwa napata shida sana nikikutana na Wanawake wenye hii tabia...Unampenda Mwanamke kabisa from ur heart,unajipanga unampiga saundi..anakujibu,''How old are you kaka'' unamwambia am 29 years..utamsikia,''Oh my Gho… Read More
UTAFITI: Wanawake Weupe Wanaringa Kuliko Weusi Home Urembo UTAFITI: Wanawake Weupe Wanaringa Kuliko Weusi UTAFITI: Wanawake Weupe Wanaringa Kuliko Weusi Urembo Kutokana na utafiti nil… Read More
Hivi ni Kwanini Wanawake Wengi Hujivunia Sana Makalio Yao? Angalia hata picha wanazopiga wanawake utaona jinsi wanavyojibinua ili wanaonekane wana makalio makubwa. Hata wakati wa kutembea pia wengine hutembea tofauti ili kuhakikisha kuwa makalio yake yanatikisika na nd… Read More
Ubuyu wa Moto Moto..Masogange Afunguka A to Z Juu ya Kupangiwa Mjengo na Makonda… ISHU hot iliyotrendi wiki hii ni kuhusu kigogo mmoja kudaiwa kumpangishia Video Queen maarufu Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ mjengo wa maana uliopo Makongo Juu jijini Dar ambapo Ijumaa limechimba ili kujua uk… Read More
Mke Wangu Anunuliwa Nguo za Ndani na Mwanaume Baada yakudakua mawasiliano ya mke wangu na kukuta Jamaa akimwambia zawadi yako ipo tayari hivyo watafutane ampatie.. Baada ya siku mbili tatu nakaona kimfuko kipo na chupi nne na brazia mbili, sikuuliza ila nikahisi hii … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni