Aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema, Edward Lowassa amechambua
mwaka mmoja wa uongozi wa Rais John Magufuli tangu aingie madarakani
akisema kuna mafanikio machache katika baadhi ya maeneo, lakini maisha
ya wananchi yamezidi kuwa magumu.
Lowassa ambaye katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, 2015 aliungwa mkono na
vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa),
alisema hayo jana katika andishi lake kwa vyombo vya habari.
Mwanasiasa huyo aliyewahi kuwa waziri mkuu katika Serikali ya Awamu ya
Nne kabla ya kujiuzulu mwaka 2008, amesema katika andishi hilo kwamba,
“kile ambacho tulikisema wakati ule kwa nini tunataka mabadiliko, hivi
sasa kila mtu anakiona.
“Kwamba pamoja na mafanikio machache katika baadhi ya maeneo, lakini
maisha yamezidi kuwa magumu, ajira imeendelea kuwa bomu linalosubiri
kulipuka, elimu bure iliyoahidiwa siyo inayotekelezwa, utumishi wa umma
umekuwa kaa la moto.”
Jumatano, 26 Oktoba 2016
Home »
» Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli
Edward Lowassa Anena Mwaka Mmoja wa Rais Magufuli
Related Posts:
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia. Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier Leag… Read More
RAIS KABILA AMFUKUZA KAZI WAZIRI ALIYEPIGA PUNYETO OFISINI Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amemfukuza kazi Naibu Waziri wa Posta na Mawasiliano, Enock Sebineza kutokana na utovu wa nidhamu baada ya kuvuja kwa video mitandaoni ikimuonesha akijichua nyeti zake a… Read More
Meya wa Kinondoni Agawa Bure Maeneo ya Biashara Leo na Kufuta Umiliki wa Vibanda na Vizimba 100Meya wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam Mstahiki Boniface Jacob amezua taharuki kwa wamachinga wa ubungo na kukimbia biashara zao wakiambatana naye mithili ya Maandamano mara baada ya kutangaza kufuta umiliki wa vi… Read More
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikite… Read More
Lulu Michael:Mastaa Bongo Mtaishia Kuchambana Instagram tuuZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini.… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni