Jumapili, 6 Desemba 2015

Harmonize: ‘Directors’ wa Video Kutoka South Africa, Wanatuheshimu Sana Wasanii Kutoka Tanzania.

Chipukizi wa Bongo flava anayeunguruma poa na hit yake ‘Aiyola’, Harmonize amesema waongozaji wa video za muziki kutoka Afrika kusini huwa wanaonesha heshima ya hali ya juu wanapokutana na wasanii kutoka Tanzania.

Akifunguka mbele ya kipaza sauti cha Timesfm.co.tz, Mkali huyo ambaye jina lake halisi ni Rajab amedai sababu kubwa ya kupewa heshima ni kwa kuwa mziki wetu ni wa pili kwa ukubwa Barani Afrika ukiwatoa Nigeria.

“Labda mi niseme kitu kimoja” alisema “Directors wa kule(Afrika kusini) wanajua kabisa ili uweze kuhit Afrika mashariki ni lazima utusue Tanzania, na hilo liko wazi sisi ni wa pili kimuziki Afrika na tunaushindani mkubwa na Nigeria tu.

huduma huwa zinakuwa nzuri kiukweli, wanatu treat poa yani hadi unaona heshima unayopata” alimaliza.

Related Posts:

  • EPL: Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa Home » General News » EPL: Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa EPL: Matokeo ya Man City vs Chelsea haya hapa Posted by: TZA Sports September 21, 2014 General News Baada ya Man United kupokea… Read More
  • WATU 115 WAFARIKI KANISANI NIGERIA  Muhubiri T.B Joshua amewashangaza wengi kwa kusema aliona ndege ikizunguka jengo hilo kabla ya kuporomoka Serikali ya Afrika Kusini inasema kuwa watu miamoja na kumi na tano wengi wao wakiwa raia wa Afrika Kusini, … Read More
  • PICHA HIZI ZINAONESHA SHANGWE YA SERENGETI FIESTA 2014 MKOANI MOROGORO NI SHEEEEEDAH . Show ya Serengeti Fiesta 2014 iliyofanyika Jumapili,Sept 21 kwenye uwanja wa Jamhuri Stadium imefana baada ya wakazi wa (88.5) Morogoro kupokea kwa shangwe burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali Tazama picha z… Read More
  • MASHABIKI WAMTUKANA BALOTELLIUjumbe wa Balotelli ulioibua hisia za ubaguzi wa rangi kwenye mtandao wa twitter  Polisi nchini Uingereza wameanzisha uchunguzi kuhusu tukio ambalo mshambulizi wa Liverpool kutoka Italia Mario Balotelli alitukanwa kut… Read More
  • MANUEL"CHELSEA NI TIMU NDOGO"Pellegrini ameikejeli Chelsea kwa kucheza kama timu ndogo  Kocha wa Manchester City Manuel Pellegrini ameikejeli Chelsea kwa kucheza kama timu ndogo timu hizo zilipoambulia sare ya Moja kwa moja uwanjani Etihad. An… Read More

0 comments:

Chapisha Maoni