January
 Makamba ameamua kutoa ufafanuzi wa picha mbalimbali zilizowekwa katika 
akaunti yake ya Instagram ambazo zinadaiwa kumkashfu Rais Magufuli baada
 ya kumnyima Uwaziri Mkuu.
Hizi ndo Picha alizoweka ambazo zinadaiwa kumkejeli Rais Magufuli
Hizi ndo Picha alizoweka ambazo zinadaiwa kumkejeli Rais Magufuli

Picha
 hii inaonyesha   sokwe mtu wakiwa wamevalia suti  na  huyo mtu 
anayeonekana kurukia kamba huku nyuma ana mkia lakin akiwa amevalia 
kaptula peke yake Picha hii inaonyesha Nguruwe wakiwa wamepewa heshima ya zulia jekundu ambayo ni heshima ya kipekee anayopewa binadam pekee
Picha hii inaonyesha Nguruwe wakiwa wamepewa heshima ya zulia jekundu ambayo ni heshima ya kipekee anayopewa binadam pekee 
 
 Picha hii inaonyesha Nguruwe wakiwa wamepewa heshima ya zulia jekundu ambayo ni heshima ya kipekee anayopewa binadam pekee
Picha hii inaonyesha Nguruwe wakiwa wamepewa heshima ya zulia jekundu ambayo ni heshima ya kipekee anayopewa binadam pekee 
 
 Picha
 hii inamuonyesha mtu akiwa amewasha moto kwa kutumia kuni ambazo chanzo
 chake ni ngazi anayotakiwa kutumia kutokea nje ( juu ) 
Msikilize January Makamba akiongea hapo chini







 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni