Dk Mpango ametaja namba za simu na
kuomba wananchi waripoti taarifa zinazohusu watumishi wa ofisi ya
Mamlaka na Mapato Tanzania (TRA), wanaojilimbikizia mali kinyume na
kanuni za utumishi wa umma.
Pia ameomba namba hizo zitumike kutoa taarifa kuhusu kero wanazokumbana nazo wananchi katika ofisi za TPA.
Piga simu 0689 122 515
Tuma ujumbe mfupi wa maneno (sms) 0689 122 516
Pia ametoa namba yake kuwa ni 0787 570 714 na ya Naibu wake kuwa ni 0784 228 095
Ijumaa, 11 Desemba 2015
Home »
» Namba za Simu za Kuripoti Kero TRA na taarifa za siri za Watumishi Wabadhirifu
Namba za Simu za Kuripoti Kero TRA na taarifa za siri za Watumishi Wabadhirifu
Related Posts:
PAUL Makonda Atoa Siri " Wapo Wanaoshinda Kwa Waganga na Wanaovaa Hirizi Wasitumbuliwe" Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amendelea na ziara zake za kutatua kero za Wananchi ambapo leo ameianza wilaya ya Kinondoni. Akizungumza na Watumishi wa Umma wa Wilaya hiyo, Makonda alisema kuwa wap… Read More
Kiwanda cha Saruji cha Dangote Kimesitisha Uzalishaji wa Simenti...Sababu Hizi Hapa Kiwanda cha Saruji cha Dangote kimesitisha uzalishaji kutokana kuelemewa na gharama za uendeshaji hatua inayowaacha watumiaji wake njia panda. Mwezi uliopita Kiwanda hicho kilililamikia Shirika la Maendeleo ya … Read More
HIZI Hapa Sababu Tatu za Jiji la Mbeya Kuwa la Pili Kwa Wingi wa Makanisa Afrika Jiji la Mbeya ni la pili kwa wingi wa madhehebu barani Afrika likiongozwa na Lagos lililopo Nigeria. Kwa mujibu wa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Paul Ntinika, jiji hilo lina makanisa 450 na Mtaa wa Sae pekee una mad… Read More
Lowassa Awajibu wanasiasa waliodai ni mgonjwa na atakufa Aliyekuwa mgombea urais katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, amewashukuru wananchi kwa kumpigia kura kwa wingi lich… Read More
WATUMISHI Waliosoma Vyuo Vikuu Bila Sifa Kufukuzwa Kazi Baada ya matamko kadhaa kadhaa ya serikali kuhusu Sekta ya Elimu nchini hatimaye leo limeibuka jingine la kutimua watumishi wote wa umma waliojiunga na vyuo vikuu na kutunukiwa "degree" bila kuwa na sifa. Hayo … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni