Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali na Wakili nchini Afrika Kusini
Thuli Madonsela leo ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa Tuzo ya Mtu
Mashuhuri Afrika ya Forbes (Person of the Year #POY2016).
Tuzo huyo hupewa mtu aliyetoa mchango mkubwa katika kuiinua jamii kwenye
njanja mbalimbali za maisha kama vile uchumi, siasa, utamaduni.
Katika kinyang’anyiro cha tuzo hiyo, Thuli Madonsela alikuwa akichuana
na Michiel Le Roux kutoka Afrika Kusini, Rais wa Mauritania, Ameenah
Gurib, Jamii ya watu wa Rwanda na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.
Mwaka 2015 tuzo hii ilikwenda kwa Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya MeTL, Mohammed Dewji.
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Haya Hapa Matokeo ya Forbes Person of the Year Aliyokuwa Anawania Rais Magufuli
Haya Hapa Matokeo ya Forbes Person of the Year Aliyokuwa Anawania Rais Magufuli
Related Posts:
Majaliwa Afunguka Issue ya Madawa ya Kulevya Inayoratibiwa na Makonda.. JUMLA ya Watanzania 578 wamekamatwa na kufungwa katika magereza ya nchi mbalimbali kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Akiahirisha mkutano wa sita wa Bunge la 11 mjini Dodoma juzi, Wazir… Read More
40 ya Nillan: Wolper Achafua Hali ya Hewa, Atoa Povu Hadharani Mbele ya Wageni WAKATI sherehe ya kutimiza 40 kwa mtoto wa Diamond na Zari, Nillan ikiendelea, staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper Massawe amekerwa na wanaomsema vibaya Zari na kuamhua kuwafungukia hadharani akitoa povu lake mbele ya… Read More
Baada ya Kutoka Selo Kwa Dhamana Hii Ndio Post ya Kwanza Aliyoandika Wema Sepetu Instagram Inawezekana kama wewe ni shabiki wa Wema Sepetu ulikua na hamu sana ya kujua post yake ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii itahusu nini baada ya kuachiwa kwa dhamana na Mahakama kufuatia sakata la dawa za kulevya… Read More
Jaji Chande Apewa Kazi Umoja wa Mataifa..!! Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande ameteuliwa kuongoza jopo la wataalamu watakaochunguza mazingira yaliyosababisha ajali ya ndege iliyomuua aliyekuwa katibu mkuu wa umoja huo, Dag Hammarskjold. Uteuzi huo wa jaji mkuu … Read More
Tundu Lissu Abaini Mbinu Chafu kwa Chama Fulani Kuweka Mgombea Urais TLS..!!! Mwanasheria Mkuu wa Chadema na mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama hicho, Tundu Lissu amezungumzia hatua yake ya kujitosa kuwania urais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS). Mosi, Lissu amesema amep… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni