Kijana mmoja ambaye anatumia jina la Shilolekiuno_official Huko
Instagram hatimae amekamatwa na jeshi la polisi kwa kutukana na
kukashifu watu mbali mbali mtandaoni, kijana huyo amekuwa akiandika
matusi mazito na kukashifu watu mbalimbali akiwemo Mwanamuziki Diamond,
Jana Baada ya Diamond Kutangaza Kuleta Perfume mpya zenye jina lake
sokoni, mtu huyo anayetumua jina la @shilolekiuno_officail aliingia
mtandaoni na kuandika matusi makubwa ambayo siwezi kuyaweka hapa kuhusu
Perfume hiyo ya Diamond
Meneja wa Diamond Ameandika Haya:
Lemutuz Naye Ameandika Haya:
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Kinara wa Matusi Instagram Akamatwa na Polisi Baada ya Kutoa Matusi Makubwa Kuhusu Perfume Mpya ya Diamond
Kinara wa Matusi Instagram Akamatwa na Polisi Baada ya Kutoa Matusi Makubwa Kuhusu Perfume Mpya ya Diamond
Related Posts:
Hii Ndio Itakuwa Safari ya Kwanza Kwa Rais Magufuli Kusafiri Kwenda Nje ya Nchi Toka Awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Magufuli huenda akasafiri kwa mara ya kwanza nnje ya nchi toka aingie madarakani mwishoni mwa mwaka jana kuelekea nchini Ethiopia ambapo atakutana na viongozi wa serikali … Read More
Rais Magufuli Awahakikishia Watanzania Kutimiza Ahadi Yake Ya Elimu Bure.......Aipongeza TRA kukusanya Trilioni 1.3 Ndani Ya Mwezi Mmoja,Atoa ONYO kwa Wakuu Wa Mikoa Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya k… Read More
Nyimbo 5 za Diamond zilizopo Store Zitaendelea Kumuweka Kileleni kwa Miaka 10 – Asema Mpiga Picha Wake Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani y… Read More
Wafanyakazi Wanne wa Serekali Wakiuka Amri ya Rais Magufuli ya Kusafiri Nje ya Nchi Bila Ruhusa ya Rais..Wafukuzwa Kazi Rais Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi mara moja kwa watumishi waandamizi wanne wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU ambao walisafiri nje ya nchi licha ya Rais Magufuli kupiga marufuku safari za nje… Read More
Rais Magufuli: Kwa Mara ya Kwanza Serikali Inakusanya Takribani Trilioni 1.3 Kwa Mwezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli amesema kwa mara ya kwanza Serikali itakusanya takribani trilioni 1.3 kwa mwezi. Pia amewahakikishia watanzania kuwa ahadi yake ya kutoa elimu bure… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni