Ni ukweli usiopingika wasanii Diamond na Alikiba ni lulu ya taifa kwa
sasa hasa unapozungumzia suala la usambazaji wa muziki wa Bongo Fleva
kwenda zaidi kimataifa na kuufanya uwe na thamani hata kwa wasanii
wengine watakapofikia level zao.
Leo nazungumzia utofauti mkubwa wa wasanii hawa wawili ambao mimi kama
#KİJANAMZALENDO nimeuona, Alikiba anaimba vizuri kuliko Diamond lakini
kupitia kigezo cha kuimba pekee hakiwezi kumfanya kuwa Msanii mzuri
kuliko wengine but kuna mambo mbalimbali ambayo msanii yeyote anapaswa
kuyafanya ili awe bora zaidi kuliko wenzake.
1 Alikiba amekuwa akiamini yeye binafsi anaweza kufika international
bila kufanya kazi na wasanii wa nje ya nchi Jambo ambalo Si la kweli ili
Msanii yeyote uweze kufanikiwa kimataifa lazima ufanye Collabo na
wasanii wa level hiyo mfano Wizkid sasa Dunia inamjua kupitia Drake,
Davido dunia inamfahamu kupitia Meek Mill,
2 kufanya media tour na Show za kimataifa; Miongoni mwa mambo ambayo
Alikiba yanamfanya awe tofauti na Diamond, Alikiba hafanyi media tour za
nje anafanya za ndani tu Ndani kila mtu anaufahamu uwezo wake so
tunataka aupeleke nje ya Tz pia aanze kufanya matamasha ya kimataifa
haiwezekani msanii unataka kwenda kimataifa halafu kwa mwaka Unaperfom
Majukwaa matatu tu.
3 Kupunguza Collabo na wasanii wa kawaida; kitu kingine ambacho Kiba
anapaswa kukizingatia ni kupunguza Collabo haşa wa wasanii wa kawaida
ambao wanataka kupata jina kupitia yeye simaanishi kwamba asikuze vipajj
lakini anaweza kuwasaidia kwa kuwasaini kwenye Lebo yake ili bado awe
na nguvu ya kuwasapoti.
4 Kuongeza Timu ya washauri: Kingine Kiba anapaswa kuongeza idadi ya
watu anaofanya nao kazi ambao ni official lakini hata kuwafanya nao wawe
mastaa ili popote wanapofanya interview nado yeye atajwe mfano
Alichofanya DİAMOND amembrand DESİGNER, DANCERS ,MAMA, MTOTO, DADA kote
huko bado jina lake linatrend
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Udhaifu Huu wa Ali Kiba Unamfanya Diamond Ang'are
Udhaifu Huu wa Ali Kiba Unamfanya Diamond Ang'are
Related Posts:
Madhara ya Chai na Kahawa Kiafya Kafeina ni nini?:1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la ‘Stimulants drugs’.Utashangaa. Habari ndiyo hiyo. Hii ndiyo sababu kwa mtu aliyezoea kunywa chai hii kila siku au kahawa, siku asipokunywa kichwa humuuma, ni… Read More
Nimekuta Mafuta ya KY na Babcare Kwenye Mkoba wa Mchumba Wangu Ni jambo limenishangaza kifupi sina tabia ya kumfuatilia mpenzi wangu iwe kwenye simu au kwenye mambo mengi but hii ilinibidi tuu. Wakati mchumba wangu alipokuja kwangu weekend hii na kushinda siku tatu nikajit… Read More
Mwana FA Aleta Msiba Mkubwa Kwa Kina Dada wa Mjini Kwa Huu Wimbo Wake Mpya...Dume Suruali ft. Vanessa Mdee Jana Mwana Fa ameachia ngoma yake ambayo ni mwiba mchungu kwa kina dada wa mjini wanaopenda na kuishi kwa kuombaomba. Ngoma inaitwa Dume Suruali.Nihonge nanunua nini? Kwa nini yani? Kwa kipi nsichokijua ina TV nda… Read More
Kajala: Sijawahi Kuwa na Mahusiano ya Kimapenzi na Paul Makonda Msanii wa filamu za kibongo, Kajala Masanja amevunja ukimya na kufunguka kuhusu maneno yaliyokuwa yanazunguka mwa muda mrefu mitaani yakimtaja kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi kwa nyakati tofauti na Mkuu wa Mkoa wa… Read More
Bibi Mbaroni Kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake MWANZA: BIBI mmoja aliyejulikana kwa jina la Amina Hamisi (56) mkazi wa Mtaa wa Mahina, Kata ya Butimba, Jijini Mwanza, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo baada ya kumlazimisha mjukuu wake Rehema Sadiki (7)… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni