Nasemaje bim'danga Mama Chibu Ndo kishasema Mjengo wa Madale anaumiliki
yeye, na wale waliokua wakimsimanga kuwa awapishe Kina chibu Na Zari
kwenye Mjengo washindweeee, bi Maza anasema wataondoka wao Na wajukuu
ila yeye wa hapahapa haondoki ng'ooooooo, Hiyo imekuja baada ya
kukumbusha kauli ya Diamond kabla hajatoka ya kuwa nyumba ya kwanza
kujenga itakuwa zawadi kwa mama.....
Ijumaa, 18 Novemba 2016
Home »
» Mama Diamond Afunguka Kuhusu Nyumba ya Madale..Adai ni yake Kama ni Kuhama Ahame Diamond na Zari
Mama Diamond Afunguka Kuhusu Nyumba ya Madale..Adai ni yake Kama ni Kuhama Ahame Diamond na Zari
Related Posts:
Louis van Gaal kayatoa ya moyoni…. anataka nani ashinde Ballon d’Or 2014? Ronaldo na Messi ?
Wanaowania tuzo ya Ballon d’Or 2014 walishatangazwa ambapo list hiyo pia inawahusisha mastaa wa soka kama Cristiano Ronaldo na Lionel Messi, huku list hiyo ikiwa pia na wachezaji wa Ujerumani iliyoshinda kombe la dunia… Read More
Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria
Wapiganaji wa Boko Haram wamekuwa kero kwa serikali na wananchi wa Nigeria
Mwanamke mmoja amejilipua katika chuo cha mafunzo Kaskazini mwa Nigeria.
Walioshuhudia
shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka hu… Read More
Baada ya kuandikwa amemuomba Diamond collabo, Jose Chameleone ametoa haya majibu
Ni
stori nyingi tunakutana nazo kwenye vyombo vya habari kila tunapoamka
na mara nyingi tunaamka nazo kwenye mitandao ya kijamii moja wapo ikiwa
hii ya mwimbaji wa Uganda Jose Chameleone kudaiwa kumuomba Diamond waf… Read More
Kwa wale watumiaji wa mboga za majani Dar, hii imetokea jana kwenye habari
Huenda
wewe ni mmoja kati ya walaji wa mbogamboga za majani lakini hujui mboga
hizi zinalimwa katika mazingira gani… sasa baraza la mazingira Tanzania
NEMC limebaini kuwa wakulima wa mboga za majani Dar wamekuwa wakitumia… Read More
Kauli ya Raisi wa Simba kuhusu usajili wa Mnigeria Emeh Izechukwu
Siku chache baada ya dirisha la usajili kufunguliwa kumekuwepo na
tetesi za usajili kumhusu mshambuliaji wa kinigeria Emeh Izuchukwu
kurudi Msimbazi.
Lakini Rais wa Simba SC, Evans Elieza Aveva amesema kwamba hawana
naf… Read More







0 comments:
Chapisha Maoni