Jumatano, 23 Julai 2014
Home »
» AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira
kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya
ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan,
nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu
58 imeanguka eneo la Kaohsiung.
Related Posts:
MCHEZAJI AFARIKI BAADA YA KUPIGWA KICHWAMchezaji Franco Nieto aliyefariki baada ya kupiwa na jiwe kwenye kichwa wakati wa mechi nchini Argentina Mchezaji wa Argentina Franco Nieto ,mwenye umri wa miaka 33 amefariki baada ya kupigwa kwenye kichwa wakati wa mechi… Read More
Yule mama aliyejiuzulu kwa kukosoa mavazi ya watoto wa Obama kumbe bado anafuatiliwa? Moja ya story ambazo zilichukua uzito wa juu katika vyombo vya habari wiki iliyopita ilikuwa ni kitendo cha yule mama mfanyakazi wa Chama cha Republican Marekani, Elizabeth Lauten ambaye alikuwa kitengo … Read More
AISHI NA MAITI AKITARAJIA ITAFUFUKA &nb… Read More
Binti aliyeongoza Matokeo ya darasa la saba kuozeshwa kwa mahari ya kilo 2 za sukari Pamoja na Serikali kuendelea kupiga vita wazazi kuwaoza mabinti zao wakiwa bado wadogo lakini bado kuna baadhi ya makabila hapa nchini wameendeleza utamaduni huo kwa kuwaoza mabinti zao sababu kubwa ikitajwa kuwa ni ta… Read More
NI MSANII ANAEKUJA VIZURI KUTEKA SANAA YA MUZIKI TANZANIA TOKEA KILIMANJARO Ni moja kati ya wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Tanzania kwa mwaka 2014 toka Kilimanjaro.Ramjey ndo jina lake katika sanaa akiwa amemshirikisha Rita ngoma yake inakwenda kwa jina la Sijajua kosa langu a… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni