Jumatano, 23 Julai 2014
Home »
 »  AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN 
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira 
kutoka eneo la ajali.    Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio.  
TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya 
ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan, 
nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu 
58 imeanguka eneo la Kaohsiung. 






 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Chapisha Maoni