Jumatano, 23 Julai 2014
Home »
» AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
AJALI YA NDEGE YAUA 51 TAIWAN
Taswira
kutoka eneo la ajali. Vikosi vya uokoaji vikiwa eneo la tukio.
TAKRIBANI watu 51 wamepoteza maisha huku saba wakijeruhiwa baada ya
ndege waliyokuwemo kuanguka iliposhindwa kutua kwa dharura huko Taiwan,
nchini China. Ndege hiyo ya Shirika la TransAsia iliyokuwa imebeba watu
58 imeanguka eneo la Kaohsiung.
Related Posts:
DADA WA DAIMOND ESMA PLATNUMZ AKIRI KUMPENDA SANA PETIT MAN AWAOMBA NYAKU NYAKU WASIMNYAKUE Dada wa Diamond ameamua kufunguka ya moyoni na kudai anampenda sana mume wake Petit Man ambae walitengana kwa muda kutokana na kutokuelewa hapa na pale lakini kwa sasa inaonekana wameweka mambo sawa...Ameandika haya… Read More
EDWARD LOWASSA AMPONGEZA RAISI JOHN POMBE MAGUFULI Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa amempongeza Rais Magufuli kwa kuondoa urasimu katika taasisi za serikali na kusema hiyo itasaidia kurejesha utendaji kazi kwa ufan… Read More
CONGO DRC: WAASI WA MAI MAI WAMEWATEKA MADEREVA 5 WA TANZANIA, WANATAKA $ 4,000 KWA KILA DEREVA KUNA TAARIFA KUWA waasi wa Mai Mai wamewateka madereva wa Tanzania watano na kuchoma baadhi ya magari. Wanadai usd 4000 kwa kila Dereva amasivyo watawapiga risasi. Wametoa deadline ya majeshi kuondoka pia.Chama cha … Read More
GAVANA BOT AFICHUA SIRI YA KILIO CHA FEDHA KUPOTEA MTAANI Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu jana alitolea ufafanuzi hali ya kiuchumi nchini huku akieleza siri ya kilio kinachovuma cha fedha kupotea mtaani na nyingine zikidaiwa kufichwa.Akizungumza na waa… Read More
NAMANGA: EDWARD LOWASSA ASIMAMISHWA NA WANANCHI WAMWELEZE UGUMU WA MAISHA Mh Edward Lowassa Mjumbe wa kamati kuu wa chama Cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA ) na Chama kikuu cha Upinzani TANZANIA na Waziri Mkuu mstaafu amesimamishwa na Wananchi wa Namanga Mpakani mwa Tanzania na Kenya … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni