Home »
» Hospitali ya Muhimbili imesemaje kuhusu mabaki ya binaadamu Tegeta?
Jeshi
la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu
cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu
mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es
salaam.
Kamanda
wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alisema
kulipatikana mifuko 85 iliyobeba mabaki ya masalia hayo ya binadamu.
‘Imeonekana mara ya mwisho viungo hivyo vilikua katika chuo cha
Udaktari cha IMTU kinachofundisha kwa vitendo pia, sasa tunachunguza na
wamekubali kuhojiwa, maswali yanayofata ni kwanini viungo hivyo vilikua
pale kwa wingi kiasi hicho? kwa nini vilikwenda kutupwa? ‘ – Kova
Kwenye
hii ishu pia hospitali ya taifa Muhimbili inachunguzwa ambapo mkuu wa
kitengo cha uhusiano kwenye hospitali hii ya taifa Aminiel Aligaesha
amesema >> ‘Sisi ni miongoni
mwa wanaochunguzwa kwa sababu ni hospitali mojawapo katika jiji la Dar,
mabaki yale hayakutoka hospitali ya taifa Muhimbili’
‘Kuharibika
kwa tanuru letu la kuchoma taka za kitabibu kama hizo hakuna uhusiano
na mabaki ya binadamu yaliyookotwa Tegeta, ni kweli tanuru liliharibika
February 2014 na mwezi April tukapata spea lakini tatizo jingine
likatokea na kipuri kingine kikaagizwa na mpaka sasa mafundi wanaendelea
kuitengeneza’ –Na mimi Nickson Luvega.
Related Posts:
Majibu ya Snura baada ya Chura wake Kupigwa Nyundo na SerikaliBaada ya wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo kuufungia wimbo wa Snura, Chura jana, muimbaji huyo anaonesha kutoshtushwa na hatua hiyo hasa kutokana na support anaiyopata kutoka kwa mashabiki wake.
Kwa ufupi haoneshi… Read More
P Diddy Aongoza Orodha ya Forbes ya Wana Hip Hop Watano Wenye Mkwanja zaidiForbes wametoa orodha mpya ya wasanii wa hip hop wenye fedha zaidi, The Forbes Five.
Diddy ameongoza orodha hiyo mwaka huu kwa kuwa na utajiri ufikao dola milioni 750. Nafasi ya pili imekamatwa na Dr Dre mwenye dola milioni 7… Read More
Mwita Waitara Azusha Tafrani Bungeni.......Ni Baada ya Kutaka Kumchapa Ngumi Mbunge wa Kasulu Aliyedai Tundu Lissu na Mnyika Ni VichaaMbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema) ametolewa nje ya Bunge baada ya kutaka kumkwida Mbunge wa Kasulu Vijijini, Agustine Holle (CCM) aliyedai kuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu na Mbunge wa Kibamba, John Mnyik… Read More
Kampuni yatozwa Sh118 Bilioni Poda yake Kusababisha SarataniPoda ya Johnson, iliyodhaniwa kuwa ni kipodozi na tiba mujarabu kwa watoto na watu wazima duniani kote imebainika kusababisha saratani.
Jana, Mahakama ya St Louis ya Marekani, iliiamuru kampuni inayotengeneza poda hizo, Johns… Read More
Wabunge warushiana makonde Afrika KusiniWabunge nchini Afrika Kusini wamepigana bungeni baada ya spika kuamuru maafisa wa usalama kuwaondoa kwa lazima wabunge wa upinzani ambao walimbeza rais Jacob Zuma alipoingia bungeni tayari kulihutubia kikao.
Rais Zuma ambaye … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni