Maafisa
wa masuala ya anga nchini Algeria wanasema wamepoteza mawasiliano na
ndege ya shirika la ndege la Air Algerie, iliyokuwa katika anga ya
Sahara. Shirika la habari za Algeria limesema ndege hiyo ilikuwa
ikisafiri kwenda Algiers na kupotea
kwenye rada takriban dakika 40 baada ya kupaa kutoka jijini Ouagadougou,
mji mkuu wa Burkina Faso. Air Algerie imesema imeanza shughuli za
dharura kuitafuta. Indadhaniwa kuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita.
Njia ya ndege hiyo ni kupitia nchini Mali ambapo kuna mzozo unaendelea
upande wa kaskazini.Alhamisi, 24 Julai 2014
Home »
» NDEGE NYINGINE YAPOTEA HUKO ALGERIA
NDEGE NYINGINE YAPOTEA HUKO ALGERIA
Maafisa
wa masuala ya anga nchini Algeria wanasema wamepoteza mawasiliano na
ndege ya shirika la ndege la Air Algerie, iliyokuwa katika anga ya
Sahara. Shirika la habari za Algeria limesema ndege hiyo ilikuwa
ikisafiri kwenda Algiers na kupotea
kwenye rada takriban dakika 40 baada ya kupaa kutoka jijini Ouagadougou,
mji mkuu wa Burkina Faso. Air Algerie imesema imeanza shughuli za
dharura kuitafuta. Indadhaniwa kuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita.
Njia ya ndege hiyo ni kupitia nchini Mali ambapo kuna mzozo unaendelea
upande wa kaskazini.Related Posts:
Maneno ya Thiery Henry kuhusu ndoto za kumrithi Arsene Wenger
Mchezaji mkongwe wa Arsenal, Thiery Henry amefichua kuwa ndoto yake kuu ni kumrithi kocha wa timu hiyo Arsene Wenger katika klabu hiyo.
Mchezaji huyo wa zamani ambaye ndiye
anayeongoza kwa idadi ya mabao katika kl… Read More
Hizi ni picha za Miss CBE 2015 jinsi ilivyofana Dar es Salaam…
Chuo cha usimamizi wa Fedha CBE usiku wa Feb 28, 2015
walikua wakimtafuta Miss CBE ambaye kwao ni kama kumtafuta mwakilishi
wao ambaye atakwenda kuwawakilisha kwenye ngazi zinazofuata za
mashindani haya ya urembo.
Amba… Read More
Alichofanya Kapteni Komba kwa familia yake siku mbili kabla ya kifo chake
Kifo
cha Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya taifa
CCM kapteni John Komba ambaye amefariki dunia akiwa hospital ya TMJ
February 28 kilitanguliwa na kitu ambacho kinadhaniwa kama kilikua ni
… Read More
Nimekuwekea matokeo ya EPL hapa, yakiwemo ya Man UTD vs Sunderland
Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyo ya kuridhisha katika
ligi kuu ya England tangu kuanza kwa mwaka 2015, klabu ya Manchester
United leo iliwakaribisha kwenye uwanja wao wa nyumbani Sunderland.
Mchezo huo wa ra… Read More
Umeipata hii ya Daktari feki aliyekamatwa Taasisi ya MOI?
Moja kati ya matukio yaliyochukua headline ni hili tukio la kukamatwa Daktari feki, Dismas Macha katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI)
akiwa amevaa sare za kazi kama Daktari ambapo hii inakuwa mara ya pili
kukamatw… Read More







0 comments:
Chapisha Maoni