Eeh ndo hivyo, akina dada wengi wanajirahihisha sana wala hawaoni aibu
kuzungusha kwa vijana wa mtaani na maofisini.Zamani nasikia msichana
unaweza ukafukuzia miaka mi 2 na kuendelea nowdays ukitoka nae tu
appointment chupa ya pili ikikolea kichwani akili yote inakimbilia chini
kazi kwako tu kuangusha kwa ubua
Kingine material things, watu wengi wako kimaslahi ndo maana anaweza
easily aka confuse mapenzi na pesa hii ni kutokana na economic
liberalisation sijui? Utaona mdada ana mpenzi wake atakuambia i love my
guy blah blah nyingi lakini sasa kama huyo Guy hawezi kumnunulia Iphone 7
wala hawezi ku offord outing za zanzibar weekend, we muambie tu twende
Zanzibar this week lazima lovely Guy atoswe na lazima ujilie tu huko.
Mapenzi yakishakua tu biashara basi tambua kuwa soko lake litatawaliwa
na demand and supply kwa kuwa kuna wadada wengi mjini supply ni kubwa
lakini wanalazimika kushusha bei, utu tena katika mapenzi taratibu
unapotea hapa ni chapa tu ilale. Kwanini wanaume waweke ndani wakati
kinapatikana tu kirahisi? Na hata hiki kilichokua ndani kutokana na
ushindani wa soko kinaweza kikachukuliwa?
Ijumaa, 16 Juni 2017
Home »
» Mapenzi yamekua Rahisi Sana Ndo Maana Ndoa Hamna Siku Hizi
Mapenzi yamekua Rahisi Sana Ndo Maana Ndoa Hamna Siku Hizi
Related Posts:
Rais Magufuli Aongoza Kura Kuwania Tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’ Rais John Magufuli anaongoza kura za kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ambayo hutolewa kwa watu walioonyesha mchango kwa jamii. Huku zikiwa zimebaki siku 21 kwa mshindi wa tuzo hiyo kuta… Read More
Magazeti ya Tanzania October 26, 2016 kuanzia, Udaku, Hardnews na michezo Share Tweet Share Share comments October 26 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kua… Read More
Kinara wa Matusi Instagram Akamatwa na Polisi Baada ya Kutoa Matusi Makubwa Kuhusu Perfume Mpya ya Diamond Kijana mmoja ambaye anatumia jina la Shilolekiuno_official Huko Instagram hatimae amekamatwa na jeshi la polisi kwa kutukana na kukashifu watu mbali mbali mtandaoni, kijana huyo amekuwa akiandika matusi m… Read More
Mimba ya Nisha Bebee Yazua Balaa..Adai Baba Kijacho Wake Hawezi Hata Kujinunulia Sabuni ya Kufulia Boxer Ujauzito wa Mwigizaji Nisha Bebee umezidi kuzua sinto fahamu kutokana na vichambo anavyopost mtandaoni kwenda kwa Muhusika wa Ujauzito huo..leo tena amepost akimtolea uvivu kama ifuatavyo: "Watu wanasema n… Read More
Haya Hapa Matokeo ya Forbes Person of the Year Aliyokuwa Anawania Rais Magufuli Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali na Wakili nchini Afrika Kusini Thuli Madonsela leo ametangazwa kuwa ndiye mshindi wa Tuzo ya Mtu Mashuhuri Afrika ya Forbes (Person of the Year #POY2016). Tuzo huy… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni