CCM tayari wameshatengeneza video ya mama Maria Nyerere akiwaomba akina
mama wotewampigie kura Magufuli. Video hii iko inasambaa Whatsup.
Kaongea mengi kuwa ni mchapa kazi na Mwadilifu. Swali langu kwa bibi
angu mama Maria, ikiwa CCM itashindwa, heshima yote tunayokupa sisi
wananchi itakuwaje? Maana yake wote watakaoongoza rohoni mwao watakuwa
wanajua kabisa hukuwapenda ila basi.
Ni bora mama ungebaki neutral. Na ungejikita kutuombea tuchaguane kwa Amani ili uendeleee kuwa Mama wa Taifa.
Ila tutasamehe tukiamini imekulazimu, maana hakuna jinsi
Alhamisi, 22 Oktoba 2015
Home »
» Hatimaye Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Magufuli
Hatimaye Mama Maria Nyerere Ampigia Kampeni Magufuli
Related Posts:
Jason Rweikiza Achaguliwa Kuwa Katibu wa Wabunge wa CCMWABUNGE wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemchagua Mbunge wa Bukoba Vijijini, Jason Rweikiza kuwa Katibu wao. Rweikiza anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, ambaye safari hii hakuwania nafasi … Read More
CHADEMA na Katibu Mkuu mfu..Ukimya Wake ni Hatari kwa Mustakabari wa ChamaKiukweli huyu katibu mkuu hajui hata pa kuanzia Chama kinaonesha dalili za kuifuata TLP na UDP sioni harakati zake ki ukweli CHADEMA ilikosea sana Dr. Mashinji ni unpopular figure hata akitembea kwa miguu Karikoo hakuna wa ku… Read More
PICHA: Jionee kaburi atakalozikwa Papa WembaPicha hii inasemekana ndilo kaburi atakapozikwa mwanamziki Maarufu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo maarufu kwa jina la Papa Wemba. Huu ni zaidi ya ufahari, lakini mimi naona hauna maana.. … Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Singida Asimamishwa Kazi Baada ya Kutoa Taarifa za Uongo Kuhusu Watumishi HEWAMkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Singida, Simion Mumbee amesimamishwa kazi baada ya kudaiwa kutoa taarifa za uongo kuhusu watumishi hewa. Katika taarifa hiyo, Mumbee anadai watumishi hewa 19 waliogundulika kwenye halmash… Read More
Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na ShiloleMsanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ambao amemshirikisha Alikiba amefunguka na kusema kuwa hata kama ikitokea mpenzi wake huyo wa zamani akitaka kurudiana na yeye ni kitu kisichowezekana kwa sa… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni