Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Ndoa ni moja ya heshima kubwa hapa duniani ambayo kila binadamu hutamani kupata heshima hiyo kwani imeelezwa katika Vitabu vya Dini kuwa ndoa ni moja ya nusu ya matendo yako kama utatekeleza vile inavyopaswa, je uko tayari kuoa au kuoelewa? Dayna Nyange anahaya ya kusema.
Mkali huyo wa “Natamani” ameongea kupitia XXL ya Clouds Fm Kipengele cha 255 cha Perfect Chrispin, Nyange anatamani kuwa katika maisha ya ndoa lakini mara nyingi ndoa huwa chungu.
KWANINI CHUNGU?
Dayna ameeleza kuwa unaweza kuingia katika ndoa lakini usifikie yale uliyoyaazimia haswa kutokana na uminifu kuwa mdogo miongoni mwa wapendanao .
“Kuingia moja kwa moja katika ndoa inahitajika ujipange kwanza japo nahitaji lakini maisha yaliyopo ndani ya ndoa ndio huwa magumu tumshirikishe Mungu wakati tunapotaka kuoa au kuolewa ama katika kukaribia suala la ndoa” amesema Dayna Nyange
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA
Related Posts:
Bomoa Bomoa Zaikumba Sinza...Baa za Uwanjani Legho Zavunjwa BAADHI ya baa zilizopo katika viwanja vya Legho, Ubungo jijini Dar, leo zimevunjwa kufuatia agizo la mahakama kwa kile kilichodaiwa wamiliki walivamia eneo ambalo siyo lao. Akizungumza na mwandishi wetu, dalali wa mahaka… Read More
JPM AAGIZA ASKARI ALIYETUKANWA NA MKE WA WAZIRI APANDISHWE CHEORais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo mara moja askari wa Usalama Barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakat… Read More
DALILI ZA MWANAMKE ANAYEKUPENDA KUTOKA MOYONIWahenga walinena kuwa “penzi ni kikohozi kulificha hauwezi” hakika wazee wetu hawakukosea Mapenzi ni hisia ambazo huwezi kuzizuia kwa namna yeyote ile kwani huanza kwa siri baina ya wawili lakini baadaye huwa sio siri tena, v… Read More
IDADI YA WANAOSUBIRI KUNYONGWA TANZANIA YAONGEZEKAJanuari 29, 2009 Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda alimwaga machozi Bungeni na kufikia hatua ya kutoa kauli kali juu ya wanaofanya vitendo vya kikatili vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwamba “wanaoua albino na… Read More
HASARA ZA KUTOFANYA MAPENZI KWA MUDA MREFUUkidumu bila tendo la ndoa muda mrefu, baadhi ya madhara madogo madogo yanaweza kujitokeza kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa kiafya karibu twende sawa katika darasa la leo Mwalimu ndio nshakuandalia vitu vitamu jisomee ili uf… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni