Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikitenganishe.”
Ndoa ni moja ya heshima kubwa hapa duniani ambayo kila binadamu hutamani kupata heshima hiyo kwani imeelezwa katika Vitabu vya Dini kuwa ndoa ni moja ya nusu ya matendo yako kama utatekeleza vile inavyopaswa, je uko tayari kuoa au kuoelewa? Dayna Nyange anahaya ya kusema.
Mkali huyo wa “Natamani” ameongea kupitia XXL ya Clouds Fm Kipengele cha 255 cha Perfect Chrispin, Nyange anatamani kuwa katika maisha ya ndoa lakini mara nyingi ndoa huwa chungu.
KWANINI CHUNGU?
Dayna ameeleza kuwa unaweza kuingia katika ndoa lakini usifikie yale uliyoyaazimia haswa kutokana na uminifu kuwa mdogo miongoni mwa wapendanao .
“Kuingia moja kwa moja katika ndoa inahitajika ujipange kwanza japo nahitaji lakini maisha yaliyopo ndani ya ndoa ndio huwa magumu tumshirikishe Mungu wakati tunapotaka kuoa au kuolewa ama katika kukaribia suala la ndoa” amesema Dayna Nyange
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA
Related Posts:
Tundu Lissu Abaini Mbinu Chafu kwa Chama Fulani Kuweka Mgombea Urais TLS..!!!
Mwanasheria Mkuu wa Chadema na mbunge wa Singida Mashariki kupitia chama
hicho, Tundu Lissu amezungumzia hatua yake ya kujitosa kuwania urais wa
Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS).
Mosi, Lissu amesema amep… Read More
Baada ya Kutoka Selo Kwa Dhamana Hii Ndio Post ya Kwanza Aliyoandika Wema Sepetu Instagram
Inawezekana kama wewe ni shabiki wa Wema Sepetu ulikua na hamu sana ya
kujua post yake ya kwanza kwenye mitandao ya kijamii itahusu nini baada
ya kuachiwa kwa dhamana na Mahakama kufuatia sakata la dawa za kulevya… Read More
40 ya Nillan: Wolper Achafua Hali ya Hewa, Atoa Povu Hadharani Mbele ya Wageni
WAKATI sherehe ya kutimiza 40 kwa mtoto wa Diamond na Zari, Nillan
ikiendelea, staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper Massawe amekerwa na
wanaomsema vibaya Zari na kuamhua kuwafungukia hadharani akitoa povu
lake mbele ya… Read MoreMajaliwa Afunguka Issue ya Madawa ya Kulevya Inayoratibiwa na Makonda.. JUMLA ya Watanzania 578 wamekamatwa na kufungwa katika magereza ya nchi mbalimbali kwa makosa ya kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya. Akiahirisha mkutano wa sita wa Bunge la 11 mjini Dodoma juzi, Wazir… Read More
Paul Makonda Afunguka Kuitwa na Bunge Kwa Ajili ya Kuhojiwa
Home
Siasa
Paul Makonda Afunguka Kuitwa na Bunge Kwa Ajili ya Kuhojiwa
Paul Makonda Afunguka Kuitwa na Bunge Kwa Ajili ya Kuhojiwa
Siasa
… Read More






0 comments:
Chapisha Maoni