Kama vile amesahu ahadi za Ukawa kutoa elimu bure kuanzia Darasa la kwanza hadi chuo kikuu. Jana Msigwa alipinga vikali swala la elimu bure huku akipata kigugumizi kujibu kwa ufasaha Maswali ya Muandishi wa ITV. Kwa hili kweli kabisa Mimi nimekushusha kabisa kwasababu Muitikio wa elimu bure ni mkubwa sana na kila mtu anafaidi keki ya Taifa kupitia hili la elimu bure na bila shaka ni jambo bora kabisa kumpa mtoto wa kitanzania elimu.
Pili ni kupinga swala ya Kubana matumizi hasa kutotumia hela kwenye sherehe na kuzielekeza kwenye Maendeleo ni jambo jema kabisa kila mtu analisapoti kasoro wewe tu Mtumishi. Magufuli anania ya dhati kuua Siasa za kuropoka ropoka . Zije siasa za watu wabunifu kama Professa J maneno machache vitendo vingi.
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» Mch. Peter Msigwa, kwa Mahojiano ya ITV Jana Umechemka
Mch. Peter Msigwa, kwa Mahojiano ya ITV Jana Umechemka
Related Posts:
JE WAJUA MWANAFUNZI CHUO KIKUU ALIYECHOMWA MOTO AFARIKI, KUZIKWA KESHO KILIMANJARO Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) enzi za uhai wake Jeneza lenye mwili wa ma… Read More
PICHA ZA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO, YAUA SISTA WA PAROKIA YA KIBANGU. Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi. Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi. Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio. .Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa. … Read More
JE WAJUA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA KWENYE MTANDAO WA FACEBOOK... Facebook ndio habari ya mjini..., kila mtu yupo na kila msichana mzuri au mbaya, hata yule wa kwenye ndoto zako anaitumia, na ni sehemu iliyo na wasichana wengi zaidi waliounganisha na mtandao mmoja kuliko mtaani, mashuleni… Read More
TUNAENDA WAPI JAMANI CHEKI PICHA ZA UCHI ZA WANAFUNZI WA CHUO MAARUFU HAPA NCHI Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngono.Katika uchunguzi wa muda mrefu, Inaonyesha kuwa kuna kamtindo ka wanafunzi kufanya mapenzi ndani ya hostel zao huku wakij… Read More
Canada wamefungisha hizi ndoa 115 za jinsia moja kwa wakati mmoja. Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni