Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia.
Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier League kama Tottenham itashindwa kuifunga Chelsea ugenini Stamford Bridge leo.
“Ningependa kuangalia mechi ya Tottenham lakini nitakuwa kwenye ndege natokea Italia,” Alisema Ranieri. “Mama yangu ana umri wa miaka 96 na napenda kula naye chakula cha mchana leo kabla sijarudi Uingereza kwa hiyo nitachelewa.”
Kocha huyo raia wa Italia hajawahi kushinda taji la ligi katika kazi ya ukocha, lakini Leicester ina kila dalili ya kumpa nafasi hiyo ikiwa hadi sasa inahitaji pointi mbili tu ili kutangaza Ubingwa kufuatia sare yao ya 1-1 na Manchester United hapo jana.
“Katika mawazo yangu, Tottenham itashinda mechi zote tatu, “ alisema. “Mimi nafikiria mechi dhidi ya Everton ni lazima tuendelee kucheza kwa makini ili tuendelee kushinda. “
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM
Related Posts:
Ujerumani Yamsifu Rais Magufuli Kwa Kupambana na Ufisadi Kwa Vitendo.....Yaahidi Kumpa Ushirikiano Serikali ya Ujerumani imeeleza kufurahishwa na kasi ya kupambana na rushwa na ufisadi ya Rais John Magufuli na kuahidi kumpa ushirikiano katika masuala ya maendeleo. Ujerumani inakuwa nchi ya kwanza ya kigen… Read More
Kigogo wa Bandari Afariki Kwa Presha...Undani wa Kifo chake Waelezwa Hapa WAKATI Rais John Magufuli akiwa kwenye zoezi la kutumbua majipu kwenye Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), mshtuko mkubwa umetokea kufuatia kigogo mwenye wadhifa wa Artsan One… Read More
Watorosha Makontena Bandarini Bila Kulipia Ushuru Hawa Hapa...Majina Yatajwa Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) imetaja majina ya kampuni 43 na wamiliki wa makontena 329 ambayo yalipitishwa bandarini bila kulipiwa na kufichuliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wiki iliyopita. Aidha, TRA im… Read More
Diamond Platnumz na Mama yake Wakaa Kikao Kizito..Kisa ZariSupastaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na mama’ke mzazi, Sanura Kassim ‘Sandra’ wamelazimika kukaa kikao kizito ili kupata muafaka wa mzazi mwenzake na staa huyo, Zarina Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kurejea Bongo n… Read More
Taarifa Sahihi Kuhusu Hotel ya Serena Kufungwa Kwa Amri ya Serikali Kwa Kosa la Kukwepa Kulipa Kodi Serena Hotel HOTELI ya kimataifa ya Serena jana ilikumbwa na msukosuko wa kuandamwa na waandishi wa habari baada ya kusambaa kwa tetesi kuwa imefungwa kwa amri ya serikali kwa kosa la kukwepa kulipa kodi. Tetesi h… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni