Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia.
Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier League kama Tottenham itashindwa kuifunga Chelsea ugenini Stamford Bridge leo.
“Ningependa kuangalia mechi ya Tottenham lakini nitakuwa kwenye ndege natokea Italia,” Alisema Ranieri. “Mama yangu ana umri wa miaka 96 na napenda kula naye chakula cha mchana leo kabla sijarudi Uingereza kwa hiyo nitachelewa.”
Kocha huyo raia wa Italia hajawahi kushinda taji la ligi katika kazi ya ukocha, lakini Leicester ina kila dalili ya kumpa nafasi hiyo ikiwa hadi sasa inahitaji pointi mbili tu ili kutangaza Ubingwa kufuatia sare yao ya 1-1 na Manchester United hapo jana.
“Katika mawazo yangu, Tottenham itashinda mechi zote tatu, “ alisema. “Mimi nafikiria mechi dhidi ya Everton ni lazima tuendelee kucheza kwa makini ili tuendelee kushinda. “
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM
Related Posts:
Waziri Makamba Awasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017.Serikali inaendelea kusimamia mazingira na kuhakikisha mifuko ya plastiki inayotumika nchini iwe ni ile inayokidhi viwango vianavyokubalika ili kuondokana na changamoto ya kuzagaa kwa mifuko hiyo katika maeneo mbalimbali. Kau… Read More
Donald Trump Asema Uchina “inaibaka” MarekaniMgombea mkuu wa chama cha Republican Donald Trump ameshutumu Uchina na kusema imekuwa “ikiibaka” Marekani kupitia sera zake za kibiashara. Ameambia watu waliohudhuria mkutano wa kisiasa Indiana kwamba Uchina imekuwa ikitekele… Read More
RANIERI KUIKOSA MECHI YA CHELSEA NA TOTTENHAM Boss wa Leicester City Claudio Ranieri anauwezekano mkubwa asiangalie mechi ya Chelsea na Tottenham hii leo kwa sababu atakuwa ndani ya ndege kutoka Italia. Mbweha hao weupe kutoka Kings Power watachukua ubingwa Premier Leag… Read More
RAIS KABILA AMFUKUZA KAZI WAZIRI ALIYEPIGA PUNYETO OFISINI Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amemfukuza kazi Naibu Waziri wa Posta na Mawasiliano, Enock Sebineza kutokana na utovu wa nidhamu baada ya kuvuja kwa video mitandaoni ikimuonesha akijichua nyeti zake a… Read More
DAYNA NYANGE AITAMANI NDOA Biblia Takatifu kitabu cha Mathayo 19:3 unasema “Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake, kwa hiyo wao si wawili tena, bali mwili mmoja. Basi, alichounganisha Mungu, binadamu asikite… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni