Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Joseph Kabila amemfukuza kazi Naibu Waziri wa Posta na Mawasiliano, Enock Sebineza kutokana na utovu wa nidhamu baada ya kuvuja kwa video mitandaoni ikimuonesha akijichua nyeti zake akiwa ofisini.
Taarifa iliyotolewa na Televisheni ya Taifa nchini humo (RTNC) imemnukuu Rais Kabila akisema Waziri Ruberangabo ameliaibisha taifa kutokana na kitendo alichokifanya katika ofisi ya umma bila woga.
Wananchi wa Kongo wamemtaka Waziri huyo ajiuzulu baada ya video hiyo kusambaa mitandaoni tangu mwishoni mwa wiki ikimuonesha waziri huyo akijichua ofisini kwake licha ya uwepo wa bendera ya nchi hiyo na picha ya Rais Kabila.
Jumatatu, 2 Mei 2016
Home »
» RAIS KABILA AMFUKUZA KAZI WAZIRI ALIYEPIGA PUNYETO OFISINI
RAIS KABILA AMFUKUZA KAZI WAZIRI ALIYEPIGA PUNYETO OFISINI
Related Posts:
Nakualika kutazama video mpya ya Ben Pol – Unanichora. Hii ni video ambayo imeongozwa na mshindi wa tuzo ya Muongozaji[Director] anayependwa Nisher kutoka Arusha,ni video ya pili kutoka kwa Ben Pol baada ya kufanya nae video ya Jikubali,baada ya kuangalia unaweza kuandika choch… Read More
Canada wamefungisha hizi ndoa 115 za jinsia moja kwa wakati mmoja. Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto… Read More
Hii ni nafasi yako kuangalia video mpya ya Shetta aliyofanyia South Africa. Baada ya kusubili kwa muda mrefu hivi sasa unaweza kuangalia video ya Sheta akiwa na Diamond kwenye video ya Kerewa Kerewa waliyo shoot South Africa. Video ina dakika 3 na sekunde 16, enjoy kuiangalia hapa .… Read More
JE WAJUA MWANAFUNZI CHUO KIKUU ALIYECHOMWA MOTO AFARIKI, KUZIKWA KESHO KILIMANJARO Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) enzi za uhai wake Jeneza lenye mwili wa ma… Read More
TUNAENDA WAPI JAMANI CHEKI PICHA ZA UCHI ZA WANAFUNZI WA CHUO MAARUFU HAPA NCHI Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngono.Katika uchunguzi wa muda mrefu, Inaonyesha kuwa kuna kamtindo ka wanafunzi kufanya mapenzi ndani ya hostel zao huku wakij… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni