Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo Mei 1 2016 kwa mchezo kati ya Simba dhidi ya Azam FC kuchezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, huu ni mchezo wa 26 kwa vilabu vyote na ulikuwa mchezo muhimu kwa kila klabu hili kujiweka pazuri katika nafasi ya kuwania ubingwa.
Azam FC kabla ya mchezo dhidi ya Simba kumalizika kwa sare ya 0-0 walikuwa na point 58 wakiwa nafasi ya pili ya Ligi, wakati Simba walikuwa nafasi ya tatu wakiwa na point 57 wakiongozwa na Yanga ambao wapo kileleni wakiwa na point 65 na michezo 26. Sare ya mchezo huu ilikuwa ni furaha kwa Yanga ambao wameongeza tofauti ya point kwa Azam FC na Simba.
Kwa idadi ya mechi Simba na Azam FC huu ulikuwa ni mchezo muhimu kwao kuhakikisha wanapata point tatu ili kuweza kupunguza tofauti yao ya point na Yanga wanaoongoza Ligi wakiwa na tofauti ya point sita na Azam FC anayefuatia, umuhimu wa mchezo kwa pande zote mbili ndio ulifanya mchezo kuwa na tension kubwa kitu ambacho kilifanya wachezaji wa pande zote kukosa magoli ya wazi wakati mwingine.
Jumapili, 1 Mei 2016
Home »
» Haya Hapa Matokeo ya Simba na Azam Yaliyofanya Mashabiki wa Yanga Waendelee Kuchekelea Kileleni...
Haya Hapa Matokeo ya Simba na Azam Yaliyofanya Mashabiki wa Yanga Waendelee Kuchekelea Kileleni...
Related Posts:
Soma kuhusu binti aliyeamua kuongeza titi la tatu katika mwili wake Kweli duniani kuna vituko na ndivyo ilivyotokea kwa binti mmoja mwenye umri wa miaka21 baada yakufanyiwa upasuaji wa kuongeza titi la tatu katika mwili wake. Binti huyo aliyejulikana kama Jasmine Tridevil alitumia pauni … Read More
Mwanamke ajitoa mhanga chuoni Nigeria Wapiganaji wa Boko Haram wamekuwa kero kwa serikali na wananchi wa Nigeria Mwanamke mmoja amejilipua katika chuo cha mafunzo Kaskazini mwa Nigeria. Walioshuhudia shambulizi hilo wanasema kuwa bomu lililipuka hu… Read More
Kauli ya Raisi wa Simba kuhusu usajili wa Mnigeria Emeh Izechukwu Siku chache baada ya dirisha la usajili kufunguliwa kumekuwepo na tetesi za usajili kumhusu mshambuliaji wa kinigeria Emeh Izuchukwu kurudi Msimbazi. Lakini Rais wa Simba SC, Evans Elieza Aveva amesema kwamba hawana naf… Read More
Baada ya kuandikwa amemuomba Diamond collabo, Jose Chameleone ametoa haya majibu Ni stori nyingi tunakutana nazo kwenye vyombo vya habari kila tunapoamka na mara nyingi tunaamka nazo kwenye mitandao ya kijamii moja wapo ikiwa hii ya mwimbaji wa Uganda Jose Chameleone kudaiwa kumuomba Diamond waf… Read More
Kwa wale watumiaji wa mboga za majani Dar, hii imetokea jana kwenye habari Huenda wewe ni mmoja kati ya walaji wa mbogamboga za majani lakini hujui mboga hizi zinalimwa katika mazingira gani… sasa baraza la mazingira Tanzania NEMC limebaini kuwa wakulima wa mboga za majani Dar wamekuwa wakitumia… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni