Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli amemuagiza Kamishna wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Ernesti Mangu kumpandisha cheo mara moja askari wa Usalama Barabarani ambaye alitukanwa na Mke wa Waziri wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi.
Rais ameyasema hayo wakati akifungua Kikao cha Makamanda wa Polisi wa Mikoa na kusema tayari amekwishamuonya Waziri huyo ambaye mke wake alimtusi Askari wa Usalama Barabarani.
Wakati akitoa agizo hilo, Rais Magufuli amesema hakuna kiongozi au familia ya kiongozi iliyo juu ya sheria.
Chanzo: TBC1
Jumapili, 1 Mei 2016
Home »
» JPM AAGIZA ASKARI ALIYETUKANWA NA MKE WA WAZIRI APANDISHWE CHEO
JPM AAGIZA ASKARI ALIYETUKANWA NA MKE WA WAZIRI APANDISHWE CHEO
Related Posts:
Linah amerudi Dar! ameongea kuhusu kolabo na Uhuru na Dj Malvado South Africa Katikati ya June 2014 Linah alizungumza na Young luvega.com akiwa South Africa na kuthibitisha kwamba kilichompeleka huko na kumfanya akae kwa zaidi ya siku 20 ni kazi ya muziki.Miongoni mwa alivyokua anavifata ni kufanya … Read More
UMEICHEKI VIDEO YA KALA JEREMIAH ALIYOMSHIRIKISHA MO MUSIC IKO HAPA Inawezekana ikawa ndiyo wimbo wa kwanza kushirikishwa na msanii kubwa baada ya kuchomoza na single yake ya Basi Nenda huyu ni Mo Music ambapo Tanzania imemtambua kwa singo yake ya Basi Nenda ambayo kupitia Clouds Fm T… Read More
Picha ya Diamond akipiga story na Nelly kwenye red carpet ya BET Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo… Read More
Maneno zaidi ya 60 aliyoyatoa Diamond baada ya mshindi wa BET 2014 kutangazwa Dakika kadhaa baada ya mshindi wa tuzo ya BET 2014 kwa wasanii wa Afrika kutangazwa kuwa Davido wa Nigeria, staa kutoka Tanzania Diamond Platnumz aliekua anawania pia tuzo hiyo ameandika ya moyoni kwa watu wake.‘Tusipopenda… Read More
Mshindi wa tuzo ya BET iliyokuwa inawaniwa na Diamond Platnumz pia. Hii ilikua siku nyingine muhimu kwa Tanzania na Africa kwa ujumla ambapo yalikua yanasubiriwa matokeo ya tuzo ya BET sanasana kipengele wanachowania tuzo wasanii wa Afrika akiwemo Diamond Platnumz.Davido kutoka Nigeria ndio… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni