Januari 29, 2009 Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda alimwaga machozi Bungeni na kufikia hatua ya kutoa kauli kali juu ya wanaofanya vitendo vya kikatili vya mauaji dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi kwamba “wanaoua albino nao wauawe”
Hadi sasa idadi ya Watanzania wanaosubiri kunyongwa imekuwa ikiongezeka siku hadi siku na kufikia 465 kutokana na hukumu ya kifo kutotekelezwa nchini tangu mwaka 1994.
Ripoti ya Mpango wa Kujitathmini Kuhusu Hali ya Utekelezaji wa Haki za Binadamu (UPR), unaotekelezwa kwa mara ya pili nchini Tanzania, umeonesha ongezeko la mahabusu 465 wanaosubiri adhabu ya kifo, kati yao wanaume ni 445 huku wanawake wakiwa 20 baada ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, kubainisha hakuna hukumu yoyote ya kifo iliyosainiwa na Rais Dk. Magufuli ili kutekelezwa tangu Oktoba mwaka jana alipoingia madarakani.
Hata hivyo Ofisa Uchunguzi Mkuu wa Tume hiyo Philemon Mponezya, amesema Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, inaitaka Serikali kufuta adhabu ya kifo kwa kuwa haitekelezeki ingawa kumekuwa na mvutano mkali kati yao na baadhi ya asasi hasa zinazohusika na haki za walemavu wa ngozi zikipinga vikali kufutwa kwa adhabu hiyo.
“Watetezi wengi wa haki za binadamu nchini Tanzania wanataka adhabu hiyo ifutwe kwa kuwa ni kinyume cha haki za binadamu na kwa Tanzania, imekuwa mbaya zaidi kwa baadhi ya wahukumiwa waliosubiri zaidi miaka 20 bila hukumu dhidi yao kutekelezwa, jambo hili linawaathiri kisaikolojia”. Amesema Mponezya.
Jiunge nasi
Insta@ubuyuhotz , fb@ubuyuhotz .
Jumapili, 1 Mei 2016
Home »
» IDADI YA WANAOSUBIRI KUNYONGWA TANZANIA YAONGEZEKA
IDADI YA WANAOSUBIRI KUNYONGWA TANZANIA YAONGEZEKA
Related Posts:
JE WAJUA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA KWENYE MTANDAO WA FACEBOOK... Facebook ndio habari ya mjini..., kila mtu yupo na kila msichana mzuri au mbaya, hata yule wa kwenye ndoto zako anaitumia, na ni sehemu iliyo na wasichana wengi zaidi waliounganisha na mtandao mmoja kuliko mtaani, mashuleni… Read More
PICHA ZA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO, YAUA SISTA WA PAROKIA YA KIBANGU. Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi. Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi. Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio. .Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa. … Read More
New AUDIO | Mr Blue, Amini, Barnaba, Dayna - Dereva Makini | Download … Read More
New AUDIO | Ben Pol - Upendo | Download @iambenpol … Read More
TUNAENDA WAPI JAMANI CHEKI PICHA ZA UCHI ZA WANAFUNZI WA CHUO MAARUFU HAPA NCHI Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngono.Katika uchunguzi wa muda mrefu, Inaonyesha kuwa kuna kamtindo ka wanafunzi kufanya mapenzi ndani ya hostel zao huku wakij… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni