Mwanasiasa mkongwe ambaye pia ni mtaalamu wa masuala ya uchumi nchini Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anaunga mkono mpango wa serikali wa miaka mitano huku akisema ni vema serikali ihakikishe inawekeza zaidi katika nishati ya umeme ili kufikia lengo la kuwa nchi ya viwanda.
Wakati tayari mpango wa serikali ukiwa umekwishawasilishwa kwa miaka mitano ijayo, ambapo umeanisha namna utakavyofanikisha asilimia 40 ya ajira ifikapo mwaka 2020 zikitokana na viwanda, huku miongoni mwa miradi mikubwa uinayotarajiwa kutekelezwa ya viwanda ni ujenzi wa kiwanda cha chuma.
Aidha Mchumi huyo pia amesema adhima ya serikali ya kujenga nchi ya viwanda itafanikia ikiwa itawekeza katika nishati ya umeme wa uhakika, licha ya miradi mikubwa kama ya Power Afrika na MCC kusitishwa huku akiishauri serikali kufanyia kazi maazimio ya bunge kuhusu sakata la Tegeta esrow.
Mahojiano hayo maalum yamefanyika Dar es Salaam, muda mfupi baada ya Prof Lipumba kupokea ujumbe maalum wa wawafuasi wa chama cha CUF kutoka mjini bagamoyo waliokuwa lengo la msihi kurejea kwenye nafasi yake ya uenyekiti wa chama cha CUF.
Jumapili, 1 Mei 2016
Home »
» Prof. Lipumba Apongeza Mipango ya Rais Magufuli
Prof. Lipumba Apongeza Mipango ya Rais Magufuli
Related Posts:
Huyu Hapa Mpenzi Mpya wa Idriss Sultan....Wagandana Kama Ruba Huko MTV Awards
Inasemekana eti Idriss na Mrembo ajulikanaye kama Sanchoka kwa sasa ni
wapenzi baada ya kuonekana pamoja huko Afrika Kusini walipoenda kwa
ajili ya MTV awards...
Picha na Video mbali mbali wakiwa pamoja za… Read More
Hakuna Msanii Bongo Mwenye Vigezo vya Mwanaume Ninayemtaka – Shilole
Kwa mujibu wa Shilole, hakuna msanii Bongo aliye na vigezo vya mwanaume anayemhitaji kwa sasa.“Hakuna hata mmoja,” Shilole alimjibu mtangazaji wa Kings FM, Prince Ramalove aliyemuuliza kama kuna msanii wa Bongo kwen… Read More
Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba Bongo
NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua
ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia
yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa n… Read More
Nimekuta Chupi ya Mke Wangu Chumbani Kwa Mdogo Wangu wa Kiume
Jamani Leo ni Siku ya saba tangia nikute chupi ya mke wangu chumbani kwa
mdogo wangu wa kiume,nimekaa nalo moyoni naona niwashikirikishe
wenzangu nione mnishauri nini
Ni hivi Ninaishi na mke wangu,mwaka wa NNE … Read More
Kutana na Mwanamke Mnene Kuliko Wote Duniani… Ana Uzito wa Kilo 500
Kwa mujibu wa jarida la Daily Mail, inaelezwa kuwa mwanamke huyo aitwaye
Iman Ahmad Abdulati mwenye miaka 36 hajawahi kutoka ndani kwa miaka 25
na amekua akiongezeka uzito wake kwa haraka mpaka kufikia kilo 500 … Read More






0 comments:
Chapisha Maoni