youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha?
Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha?
Michuano ya kombe la dunia ipo kwenye hatua ya robo fainali ambayo itaanza rasmi Ijumaa hii. Michuano hii ya mwaka huu imekuwa na magoli mengi na bora katika historia ya michuano hii mikubwa kabisa katika soka.
youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
Related Posts:
INSTAGRAM: MANENO MATATU ALIYOYAANDIKA SHILOLE BAADA YA KUMPOST NUH MZIWANDA Jana September 15 2016 Mrembo kutoka Bongoflevani Shilole amezichukua headlines baada ya kupost kwa mara ya kwanza aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Nuh Mziwanda, Shilole ametumia mtandao wake wa… Read More
UTAFITI WA TWAWEZA: WATANZANIA 96% WANAMPONGEZA RAISI MAGUFULI Taasisi inayojishughulisha na kufanya tafiti mbalimbali nchini ya TWAWEZA. Leo imetoa ripoti inayoonyesha kuwa asilimia 96 ya Watanzania wapongeza utendaji wa Rais Magufuli, huku asilimia 68 wapongeza uwajibikaji wa… Read More
TUNDU LISSU AISHUKIA SERIKALI KUHUSU KUTUMIA PESA ZA MIFUKO YA JAMII BILA KURUDISHA *Anaandika Tundu Lissu*Pesa za mifuko ya hifadhi ya jamii hazitajenga kiwanda chochote. Ni siasa tu.Pesa za mifuko ya hifadhi ya umma sio pesa za serikali, ni pesa za wafanyakazi. Zinatokana na makato yao ya mishaha… Read More
SIASA WALICHOKIONGEA CUF KUHUSU KUWAVUA UANACHAMA WANACHAMA WAKE AKIWEMO PROF LIPUMBA Baada ya headline za Chama cha wananchi CUF kuwavua uanachama baadhi ya wanachama wake akiwemo aliyewahi kuwa mwenyekiti wake Profesa Ibrahim Lipumba JANA September 15 2016 kamati ya uongozi … Read More
CONGO DRC: WAASI WA MAI MAI WAMEWATEKA MADEREVA 5 WA TANZANIA, WANATAKA $ 4,000 KWA KILA DEREVA KUNA TAARIFA KUWA waasi wa Mai Mai wamewateka madereva wa Tanzania watano na kuchoma baadhi ya magari. Wanadai usd 4000 kwa kila Dereva amasivyo watawapiga risasi. Wametoa deadline ya majeshi kuondoka pia.Chama cha … Read More
0 comments:
Chapisha Maoni