youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha?
Angalia magoli 10 bora ya kombe la dunia – Messi vs Van Persie nani katisha?
Michuano ya kombe la dunia ipo kwenye hatua ya robo fainali ambayo itaanza rasmi Ijumaa hii. Michuano hii ya mwaka huu imekuwa na magoli mengi na bora katika historia ya michuano hii mikubwa kabisa katika soka.
youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
youngluvega.com inakuletea video ya magoli 10 bora ya kombe la dunia kwenye hatua ya makundi.
Related Posts:
Hospitali ya Muhimbili imesemaje kuhusu mabaki ya binaadamu Tegeta?Jeshi la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es sala… Read More
Kilichoendelea kesi ya Mbasha Mahakamani July 23 2014, kakubali sentensi mbili tu.KESI ya ubakaji inayomkabili mume wa Flora Mbasha ambae ni mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili Tanzania Emmanuel Mbasha (32), ilitajwa tena July 23 2014 katika mahakama ya wilaya ya Ilala ambapo Mbasha amesomewa tena mas… Read More
Magazeti ya leo July 24 2014 . Kama kawaida youngluvega.blogspot.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mb… Read More
Kama ulisikia au kusoma kwamba Mama Diamond na Wema hawaelewani. Najua kuna stori nyingine huwa zinaandikwa alafu wahusika wakuu wanakuja kuziongelea baadae kwa kushangaa kilichoandikwa ambacho mara nyingi kinakua sio cha kweli. Stori ya Wema kutopatana na ‘mama mkwe’ yaani Mama mzaz… Read More
IDADI YA JEZI ALIZOUZA JAMES RODRIGUEZ NDANI YA SAA MOJA TU.Muda mfupi baada ya kujiunga na Real Madrid kwa ada ya uhamisho wa paundi millioni 63, mchezaji wa Colombia James Rodriguez ameweka rekodi katika mauzo ya jezi yake ya Real Madrid. Ripoti za Hispania zinasema Jezi zipataz… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni