Mwanamke mmoja Alexis Stanton amelazimika kunyoa nywele zote kichwani baada ya nywele zake bandia kunasa kwenye gundi aina ya super glue.
Mwanamke huyo alilazimika kubaki na kipara na majeraha kidogo ambapo amesema alifanya hivyo baada ya kujikuta nywele zake alizokuwa amebandika kichwani kunasa kwenye gundi ambayo ilishindikana kutoka.
Mwanamke huyo kutoka Newcastle anasema kuwa bado anahisi maumivu kwenye kichwa chake na kwamba amelia sana tangu tukio hilo lilipotokea na bado yupo kwenye majonzi makubwa
Amesema polisi wanamsaka mtaalamu wa saluni aliyemtengeneza nywele zake mara ya mwisho ambaye aliamini anajua kazi yake lakini badala yake alimwekea super glue badala ya gundi inayotakiwa kugandishia nywele zake.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Mwanamke aliyelazimika kunyoa kipara baada ya nywele zake bandia kunasa kwenye Super glue.
Mwanamke aliyelazimika kunyoa kipara baada ya nywele zake bandia kunasa kwenye Super glue.
Related Posts:
Imebainika Mashine ya CT Scan Iliyofungwa Muhimbili Hospital ni ya Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto imekiri kwamba mashine ya CT Scan iliyofungwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ilikuwa ni ya kituo cha kisasa cha kutolea huduma za afya cha Benjamin Mkapa… Read More
Rais Magufuli Afunguka na Kusema Yeye si Kichaa wala Dikteta ila Inafika Wakati Lazima Afanye Hivyo!! RAIS Dk. John Magufuli amesema anapochukua hatua yeye si kichaa, si dikteta, si shetani wala si mnyama, ila ni mpole, lakini amefika mahali lazima afanye hivyo kwani ndani ya Serikali yanafanyika mambo ya ajabu. Kauli h… Read More
Siri Imefichuka..Kumbe Rwanda ilitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Wakimbizi wa Burundi Wamwondoe Nkurunziza Madarakani Ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa(UN): Rwanda ilitoa mafunzo ya kijeshi kwa wakimbizi wa Burundi wamwondoe Nkurunziza madarakani. Burundi imekabiliwa na machafuko tangu mwezi Aprili 2015, wakati Rais Pierre Nkurunziza a… Read More
Mbunge Godbless Lema Awachana CCM Laivu....Hawawezi Kukaa Madarakani Kwa Maisha yote Mbunge wa arusha mjini Godbless lema amesema leo bungeni swala la Zanzibar si la kichama,Ni swala la nchi na lisipotafutiwa ufumbuzi lina athari kwa kila mtu, Lema ameenda mbali zaidi na kuwaambia Wabunge Wa CCM hii nch… Read More
Njia Kumi na Moja za Kumfanya Mpenzi Wako Asitoke nje na Michepuko 1. TAMBUA THAMANI YAKE Unapokuwa Umeapa Kuwa Utampenda Mwenzako Hadi Kifo Kitakapowatenganisha, Uwe Umefanya Hivyo Kwenye Nyumba Ya Ibada Au Kwingine, Lazima Ufahamu Jinsi Ya Kutambua Juhudi Za Mpenzi Au Mwenzi Wako,… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni