Ripoti ya daktari wa magonjwa ya akili iliyowasilishwa katika kesi dhidi ya Mwanariadha wa Afrika kusini, Oscar Pistorius, inaashiria kuwa anaugua msongo wa kimawazo na yumo katika hatari ya kujitoa uhai.
Ripoti hiyo iliyowasilishwa na wakili wake, inasema kuwa Pistorius yupo katika maombolezo ya mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Siku ya Jumatatu, mahakama ilielezwa kwamba Pistorius hana matatizo ya akili wakati alipompiga risasi mpenzi wake Steenkamp.
Pistorius anakanusha kutekeleza mauaji hayo, akieleza kuwa ilikuwa bahati mbaya kwakuwa alihofia kuwa nyumba yake imevamiwa.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Kinachoendekea kuhusu kesi ya Pistorius, Inadaiwa yupo katika hatari ya “kujiua”.
Kinachoendekea kuhusu kesi ya Pistorius, Inadaiwa yupo katika hatari ya “kujiua”.
Related Posts:
Huu Ndio Msikiti ambao Diamond Anapang Kuujenga..!!! Diamond amejitolea kujenga msikiti. Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ amesema kwa sasa anajenga msikiti huo lakini upo mkoani Mtwara. “Mimi nakushukuru sana mama yangu, asante sana. Naamini kabisa nitakuja Mtwara, Mtw… Read More
Upepo Mchafu Wazidi Kumuandama Manji, Asakwa na Uhamiaji Kwa Kosa Hili Baada ya Sakata la Madawa ya Kulevya kumuandama mpaka kufikia kulazwa Hospitalini, Uhamiaji nao wamekuja na Mpya baada ya kukamata Passport Kadhaa ofisini kwake za watu kutoka nje ambao wanafanya kazi kwenye kampuni yak… Read More
Mwanake ni Sura au Msambwanda? Kuna hili suala ambalo nimeona sio vibaya tukiulizana kujua utashi wa kila atakayechangia tuone kipi watu wanapenda zaidi inapobidi kuchagua kimoja. Ni ndoto ya kila mmoja kupata mwanamke aliyetimia kuanzia sura mpaka u… Read More
Baada ya Kulianzisha,,Makonda Yupo Hatarini Kuuawa,Vigogo wa Madawa ya Kulevya Wapanga Mikakati ya Kummaliza kwa Gharama Yeyote Ile..!!!! Wakati vita dhidi ya madawa ya kulevya jijini Dar vikipanuka na kugeuka kuwa suala la kitaifa, kuna kila dalili kuwa usalama wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda upo hatarini, Risasi Mchanganyiko limebaini. … Read More
Diamond Platnumz Athibitisha Kuwa Mbioni Kumrudisha Q-Chief Kwenye Ramani...!!! Diamond Platnumz amethibitisha kuwa amejipanga kumrudisha Q-Chief kwenye ramani ya muziki baada ya uongozi wake wa QS Mhonda kushindwa kufanya hivyo licha ya kudai kutumia zaidi ya shilingi milioni 200 bila kupata fai… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni