Kutoka kwa Soudy Brown kupitia You heard ya leo Shilole amelalamika juu ya mtu anayedai kumuazima laptop yake lakini anaonekana ana dalili za kumdhulumu baada ya simu zake kuwa hapokei, amemtaja kwa jina la Dj Ommy Crazy ambae ni Dj wa Club.
Bonyeza play kusikiliza.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Malalamiko ya Shilole kuhusu Dj wa Club anayetaka kumdhulumu Laptop yake.
Malalamiko ya Shilole kuhusu Dj wa Club anayetaka kumdhulumu Laptop yake.
Related Posts:
Yule mama aliyejiuzulu kwa kukosoa mavazi ya watoto wa Obama kumbe bado anafuatiliwa? Moja ya story ambazo zilichukua uzito wa juu katika vyombo vya habari wiki iliyopita ilikuwa ni kitendo cha yule mama mfanyakazi wa Chama cha Republican Marekani, Elizabeth Lauten ambaye alikuwa kitengo … Read More
NI MSANII ANAEKUJA VIZURI KUTEKA SANAA YA MUZIKI TANZANIA TOKEA KILIMANJARO Ni moja kati ya wasanii waliofanya vizuri katika tasnia ya muziki wa Tanzania kwa mwaka 2014 toka Kilimanjaro.Ramjey ndo jina lake katika sanaa akiwa amemshirikisha Rita ngoma yake inakwenda kwa jina la Sijajua kosa langu a… Read More
Hii ni kuhusu matokeo ya zoezi la upimaji wa kilevi kwa madereva wa mabasi Ubungo Lile zoezi ambalo lilianzishwa na Jeshi la Polisi Tanzania kukagua madereva wanaoendesha mabasi ya abiria kwenda mikoani kama wanatumia kilevi leo limefanyika kwa ghafla katika Kituo cha Mabasi cha Ubungo. Taarifa iliyo… Read More
AISHI NA MAITI AKITARAJIA ITAFUFUKA &nb… Read More
Binti aliyeongoza Matokeo ya darasa la saba kuozeshwa kwa mahari ya kilo 2 za sukari Pamoja na Serikali kuendelea kupiga vita wazazi kuwaoza mabinti zao wakiwa bado wadogo lakini bado kuna baadhi ya makabila hapa nchini wameendeleza utamaduni huo kwa kuwaoza mabinti zao sababu kubwa ikitajwa kuwa ni ta… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni