Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam inawashikilia watuhumiwa wawili wa ujambazi ambao wanahusishwa na mauaji ya Mtawa wa Kanisa Katoliki Sista Clezensia Kapuli.
Mbali na watuhumiwa hao pia watu wengine sita wanashikiliwa wakihusishwa na matukio mbali mbali ya ujambazi hapa nchini.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, Kamishna Suleiman Kova, amewataja majambazi wanaohusishwa na mauaji ya Sista huyo kuwa ni Manase Ogenyeke “mjeshi” (35) mkazi wa Tabata Chang’ombe na Hamis Shaban “Carlos” mkazi wa Magomeni mwembechai.
Wengine waliokamatwa kutokana na matukio mengine ya ujambazi ni Beda Mallya miaka (37) mkazi wa Mbezi msakuzi, Michael Mushi (50), Sadick Kisia (32), Elibariki Makumba (30), Nurdini Suleiman (40) pamoja na Mrumi Salehe (38).
Majambazi hao wamekamatwa kutokana na Operesheni inayoendelea jijini Dar es Salaam baada ya kifo cha Mtawa huyo kilichotekea Juni 23 mwaka huu, kamanda Kova amesema majambazi hao wawili pia wanahusika na tukio la uporaji fedha katika Benki ya Barclays tawi la Kinondoni lililotokea miezi michache iliyopita.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa mauaji ya Sista aliyepigwa risasi Ubungo.
Kuhusu kukamatwa kwa watuhumiwa wa mauaji ya Sista aliyepigwa risasi Ubungo.
Related Posts:
JE WAJUA JINSI YA KUTONGOZA MSICHANA KWENYE MTANDAO WA FACEBOOK... Facebook ndio habari ya mjini..., kila mtu yupo na kila msichana mzuri au mbaya, hata yule wa kwenye ndoto zako anaitumia, na ni sehemu iliyo na wasichana wengi zaidi waliounganisha na mtandao mmoja kuliko mtaani, mashuleni… Read More
PICHA ZA TUKIO LA UJAMBAZI UBUNGO, YAUA SISTA WA PAROKIA YA KIBANGU. Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi. Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi. Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio. .Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa. … Read More
TUNAENDA WAPI JAMANI CHEKI PICHA ZA UCHI ZA WANAFUNZI WA CHUO MAARUFU HAPA NCHI Baadhi ya madenti wa vyuo vikuu mbalimbali jijini Dar es Salaam, wameoza kwa matukio machafu ya ngono.Katika uchunguzi wa muda mrefu, Inaonyesha kuwa kuna kamtindo ka wanafunzi kufanya mapenzi ndani ya hostel zao huku wakij… Read More
JE WAJUA MWANAFUNZI CHUO KIKUU ALIYECHOMWA MOTO AFARIKI, KUZIKWA KESHO KILIMANJARO Daniel Anael Lema, aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa nne wa shahada ya sheria katika Chuo Kikuu Kishiriki cha Mt. Augustino, Tawi la Iringa (Ruaha University College - RUCO) enzi za uhai wake Jeneza lenye mwili wa ma… Read More
Canada wamefungisha hizi ndoa 115 za jinsia moja kwa wakati mmoja. Wapenzi wa muda mrefu Richard Laslett na Collin Gunther ambao wamedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka 37 wamepata nafasi ya kuwa moja kati ya wapenzi wa jinsia moja 115 waliofungishwa ndoa kwa wakati mmoja mjini Toronto… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni