Imeripotiwa kuwa wanne waliokua kwenye Ndege iliyokua ikitokea uwanja wa ndege wa Jomo Kenyatta Nairobi, Kenya kuelekea Mogadishu, Somalia wamepoteza maisha baada ya Ndege hiyo kuanguka katika eneo la Utawala dakika chache baada ya kupaa,
Ajali hiyo imetokea alfajiri ya Julai 02 na inaaminika kwamba ndege hiyo ilikua iondoke mapema kusafirisha zao la Mirungi na bidhaa nyingine kuelekea Somalia.
Walinzi wawili wamejeruhiwa katika ajali hiyo ambapo mmoja amekwishapatiwa matibatibu na kuruhusiwa huku mmoja akiwa bado anaendelea na matibabu katika hospitali ya Mama Lucy.
Kwa mujibu wa Mkuu wa polisi Jijini Nairobi Benson kibue, ajali hiyo imetokea baada ya Ndege hiyo yenye nambari 5Y-CET kuanguka juu ya Paa la jengo la kibiasharawakati ikijaribu kutua ghafla na kushika moto papo hapo.
Polisi wanaendelea na uchunguzi kufuatia ajali hiyo ndani ya mabaki ya ndege.
Jumatano, 2 Julai 2014
Home »
» Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya.
Taarifa kuhusu ndege iliyodondoka alfajiri ya July 02 Kenya.
Related Posts:
TANZANIA YA VIWANDA KUANZIA MOROGORO SERIKALI ya Awamu ya Tano imeanza kutekeleza kwa vitendo azma yake ya kujenga uchumi unaotegemea viwanda baada ya kuzindua ujenzi wa mradi maalumu wa uwekezaji wa viwanda mkoani Morogoro ili kukuza uchumi na kuongeza ajira n… Read More
SERIKALI KULIPA MADENI YA WALIMU YALIYOHAKIKIWA TUWAZIRI wa Fedha na Mipango Dokta Philip Mpango, ameliambia Bunge mjini DODOMA, kuwa serikali inaendelea kuhakiki madeni ya walimu yaliyowasilishwa kwa ajili ya malipo baada ya kubaini kuwepo kwa udanganyifu kwenye baadhi ya m… Read More
Haya Hapa Matokeo ya Simba na Azam Yaliyofanya Mashabiki wa Yanga Waendelee Kuchekelea Kileleni...Ligi Kuu soka Tanzania bara imeendelea leo Mei 1 2016 kwa mchezo kati ya Simba dhidi ya Azam FC kuchezwa katika uwanja wa Taifa Dar es Salaam, huu ni mchezo wa 26 kwa vilabu vyote na ulikuwa mchezo muhimu kwa kila klabu hili … Read More
Prof. Lipumba Apongeza Mipango ya Rais MagufuliMwanasiasa mkongwe ambaye pia ni mtaalamu wa masuala ya uchumi nchini Profesa Ibrahimu Lipumba amesema anaunga mkono mpango wa serikali wa miaka mitano huku akisema ni vema serikali ihakikishe inawekeza zaidi katika nishati y… Read More
75000 WAFANYA MTIHANI KIDATO CHA 6 LEO WATAHINIWA 74,920 leo wanaanza kufanya mtihani wa kuhitimu Kidato cha Sita katika shule mbalimbali nchini huku watahiniwa 11,597 wakifanya mtihani wa Ualimu. Ofisa Habari wa Baraza la Mitihani (NECTA), John Nchimbi amesema k… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni