Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo na salamu. Hayo yote yametokea kwenye redcarpet ya BET usiku wa kuamkia leo 30/6.
Hii ni caption ya picha aliyokuwa na Nelly.
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» Picha ya Diamond akipiga story na Nelly kwenye red carpet ya BET
Picha ya Diamond akipiga story na Nelly kwenye red carpet ya BET
Related Posts:
DADA WA KAZI ALIYEMTESA MTOTO UGANDA AOMBA MSAMAHAJolly Tumuhirwe Mfanyakazi wa nyumbani aliyenaswa kwenye kanda ya video akimchapa na kumkanyaga mtoto nchini Uganda, amefikishwa mahakamani leo. Mfanyakazi huyo Jolly Tumuhirwe aliambia mahakama kuwa anajulia kile alichokif… Read More
Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan Kiongozi wa Oparesheni wa kundi la Al Qaeda auawa nchini Pakistan katika uvamizi. Kiongozi mwandamizi wa kundi la wanamgambo wa Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa … Read More
Umeipata hii ya Daktari feki aliyekamatwa Taasisi ya MOI? Moja kati ya matukio yaliyochukua headline ni hili tukio la kukamatwa Daktari feki, Dismas Macha katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa (MOI) akiwa amevaa sare za kazi kama Daktari ambapo hii inakuwa mara ya pili kukamatw… Read More
Nguvu ya Mapenzi itamrudisha Chris Brown kwa Karrueche? Soma alichokiandika @Instagram Weekend iliyopita imeisha kwa habari za kuisha kwa penzi la Chris Brown na Karrueche, halafu story kuibwa ya pili ikawa yale madongo ambayo kila mmoja akimtuhumu mwenzake kwamba ndiye sababu ya mapenzi yao kuisha.… Read More
TAKWIMU MBAYA KWA ARSENAL. Hali ndani ya klabu ya Arsenal imezidi kuwa mbaya baada ya mashabikiw a klabu hiyo kuendelea kushinikiza kuondoka kwa kocha wao Arsene Wenger . Shinikizo hilo liliongezeka mwishoni wa wiki iliyopita wakati Arsenal ilipof… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni