Tukio la BET awards 2014 limefanyika na mambo mbalimbali yalitokea, zaidi ya interview kwenye redcarpet Diamond amekutana na wasanii tofauti. Hivi sasa ameshare picha zake akiwa na msanii Nelly wakionekana kwenye mazungumzo na salamu. Hayo yote yametokea kwenye redcarpet ya BET usiku wa kuamkia leo 30/6.
Hii ni caption ya picha aliyokuwa na Nelly.
Jumanne, 1 Julai 2014
Home »
» Picha ya Diamond akipiga story na Nelly kwenye red carpet ya BET
Picha ya Diamond akipiga story na Nelly kwenye red carpet ya BET
Related Posts:
Friji Lateketeza Jengo la Ghorofa 27 kwa Muda wa Dakika 15..!!! MOTO uliozuka kwenye jengo la ghorofa 27 lililoko London Magharibi kwa dakika 15 baada ya friji kulipuka, itakuwa ni moja ya ajali mbaya kupata kutokea katika historia ya nchi hii huku kukiwa na hofu ya kutokuw… Read More
Maajabu Marekani Imesaini Mkataba wa Kuizia Qatar Ndege za Kivita Aina ya F-15 kwa $12billions..!! Wengi Mnakumbuka Sekeseke la Juzi ambapo Marekani waliishutumu Qatar kusaidia kifedha Mitandao ya Ugaidi. Balozi mbalimbali zilifungwa na Sasa Marekani na Qatar wamesaini deal ya Kuuziana ndege za Kivita aina… Read More
UVCCM Wampa za Uso Lowassa Kuhusu Sakata la Makinikia..!!! Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi(UVCCM) umemtaka Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Rchmond Edward Lowassa kuacha uongo kwani hana historia ya kupigania maslahi ya umma. Aidha, imesema madai ya low… Read More
Alichokisema Kafulila Baada ya Serikali Mkoani Kilimanjaro Kuharibu Shamba la Mbowe..!!! ALIYEKUWA Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amelaani hatua ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa kutumia mamlaka yake kuvamia na kuharibu shamba la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe. Juzi, Kamati ya U… Read More
Madiwani wa Moshi Wasusa Semina Kisa Malipo ya Posho Kuwa Madogo..Wataka Walipwe Laki Moja Kwa Kikao..!! HALI ya taharuki imeibuka katika Halmashauri ya Moshi baada ya madiwani kugomea mafunzo ya utaratibu ulioboreshwa wa uendeshaji ruzuku ya maendeleo kwenye mamlaka za Serikali za mitaa (LGDG), wakishinikiza kulip… Read More
0 comments:
Chapisha Maoni